Mwenyezi Mungu akujalie hitaji hitaji la moyo wako,wanakuja wenye msaada be patient !
kuna watu humu wana moyo na nafasi zao watakusaidia hata kwa ushauri tu ambao unawezakuwa na mchango chanya kwako na kwa watu wengine,all the best
Ndugu kichupa, kama una uwezo rudi tena chuo usome post graduate diploma ya education (PGDE) Kwa mwaka mmoja kisha unasubiri kupangiwa mkoa na wilaya ya kufundisha. Tena chuo cha ada nafuu ni open univ (OUT).
Hii itakusaidia mdau wangu>>>OPEN SOURCE JOBS TZ
pole ndugu ebu cheki apa nimeona wametangaza
PATA AJIRA ZISIZOHITAJI UZOEFU WALA UJUZI | Nyumba bora kwa Maisha bora
Ni PM please mapema sanaHabari,mimi ni kijana wa kitanzania nimehitimu shahada ya kwanza ya sheria miaka miwili iliyopita.Nimetafuta sana ajira sijapata naombeni msaada wenu kazi yeyote ile halali.Niliwahikufundisha sekondari.Mimi nipo dar.
Ni PM please mapema sana
mkuu vp umefanikiwa?
mkuu nakushauri utembelee maeneo ya mahakamani au sehemu zozote za usuluhishi ili ukawape wanyonge msaada wa kisheria, kwani watu ni wengi sana wanahitaji msaada huo. Kwa kufanya hivyo utawakomboa nawe utajipatia kipato. Mungu akutie nguvu.