master noble
Member
- Oct 12, 2017
- 10
- 4
Leo ni siku ya tatu hivi, ninajaribu kuingia kwenye profile yangu ili nijue nimepata asimilia ngapi ya mkopo lakini cha ajabu link ya HESLB haifunguki.
Jamani naomba mnisaidie hii ishu maana sijajua nitalipiwa ada kiasi gani
Jamani naomba mnisaidie hii ishu maana sijajua nitalipiwa ada kiasi gani