Wadau naomba msaada wenu natumia galaxy j7 dual sim ya 2015... Lkn kwa siku za hv karibuni imekuwa haishiki mtandao wa 4g hata kwenye eneo lenye mtandao huo wa 4g.... Nilijaribu kwa tigo ikashindwa na now nipo kwenye mkoa wenye voda 4g.... Lkn mwanzoni ilikuwa haina shida... Mwenye kujua namna ya kufanya simu yangu hii inase 4g naomba msaada...
Ni kuiseti simu kwanza kupitia setting, mobile networks, na kuenable 3g, 4g, 2g kama automatic yako. Kisha uwe na line inayosapoti 4g kisha uwe mkoa unaosapoti 4g.
Ni kuiseti simu kwanza kupitia setting, mobile networks, na kuenable 3g, 4g, 2g kama automatic yako. Kisha uwe na line inayosapoti 4g kisha uwe mkoa unaosapoti 4g.
Ishu imeanza ghafla? Ulidownload app? Cheki line ya mtu mwingine kama kwako itafunction kwa 4g pia line yako weka kwa mtu mwingine ili ujue kama itasapoti 4g.