Msaaada wa haraka waungwana.

Msaaada wa haraka waungwana.

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Mimi kama mwanafunzi wa elimu ya juu, naomba ushauri kwa ndugu zangu wenye experience kubwa ya maisha.

Kutokana na tatizo la ukosefu wa ajira, tunatakiwa kutafuta taaluma zingine za vitendo ili tuweze kujiajiri.

Zifuatazo ni fani ambazo nataka kuzisoma.
1.Fokolitf operator
2.ufundi wa kuchomelea(welding)
3.Umeme wa magari.

Ipi nzuri kati ya hizo mipango yangu nikimaliza chuo niende duniani huko kutafuta maisha.

Karibuni sana matusi ruksa😐
 
Mimi kama mwanafunzi wa elimu ya juu, naomba ushauri kwa ndugu zangu wenye experience kubwa ya maisha.

Kutokana na tatizo la ukosefu wa ajira, tunatakiwa kutafuta taaluma zingine za vitendo ili tuweze kujiajiri.

Zifuatazo ni fani ambazo nataka kuzisoma.
1.Fokolitf operator
2.ufundi wa kuchomelea(welding)
3.Umeme wa magari.

Ipi nzuri kati ya hizo mipango yangu nikimaliza chuo niende duniani huko kutafuta maisha.

Karibuni sana matusi ruksa😐
Tafuta tu connection ndilo jambo la msingi
 
Mimi kama mwanafunzi wa elimu ya juu, naomba ushauri kwa ndugu zangu wenye experience kubwa ya maisha.

Kutokana na tatizo la ukosefu wa ajira, tunatakiwa kutafuta taaluma zingine za vitendo ili tuweze kujiajiri.

Zifuatazo ni fani ambazo nataka kuzisoma.
1.Fokolitf operator
2.ufundi wa kuchomelea(welding)
3.Umeme wa magari.

Ipi nzuri kati ya hizo mipango yangu nikimaliza chuo niende duniani huko kutafuta maisha.

Karibuni sana matusi ruksa😐
Kasome plumbing au refregeration
 
Sitaki kuwa chawa, connection nishatafuta sana nimekosa Nina amini Katika uwezo wangu
Ni sawa ila ukiwa na connection hata ukisoma ile kozi ya mabrazamen na masister du inaitwa PR bado utakula shavu.
 
Kasome plumbing haitakuacha mtupu
Wazo zuri sana. Kama aliivyo sema anataka kwenda 'duniani ' kama ana maana ya ulaya asomee hiyo plumbing. Kama UK plumber kutengeneza £ 500 ni kitu cha kawaida Sana per day. Ni fani ambayo haina watu wengi wanao I fanya. Ila Ukiendea huko lazima uanze kuwa saidia fundi kwani kuna specifications tofauti na huku pamoja na mambo ya safety hasa mabomba ya gas majumbani.
 
Mimi kama mwanafunzi wa elimu ya juu, naomba ushauri kwa ndugu zangu wenye experience kubwa ya maisha.

Kutokana na tatizo la ukosefu wa ajira, tunatakiwa kutafuta taaluma zingine za vitendo ili tuweze kujiajiri.

Zifuatazo ni fani ambazo nataka kuzisoma.
1.Fokolitf operator
2.ufundi wa kuchomelea(welding)
3.Umeme wa magari.

Ipi nzuri kati ya hizo mipango yangu nikimaliza chuo niende duniani huko kutafuta maisha.

Karibuni sana matusi ruksa😐
Ushauri wa Kujikita kwa Fani za Ufundi
  1. Chagua Ufundi wa Kuchomelea (Welding)
    • Sababu: VETA na serikali zinatoa mafunzo ya NVA I-III (miaka 3) na nafasi za kazi katika sekta ya ujenzi, magari, na viwanda258.
    • Fursa: Mafunzo ya bure kwa vijana wenye miaka 15-35, ikiwa ni pamoja na wale wenye ulemavu6.
    • Soko la Kazi: Hitaji la wachomeleaji limeongezeka kwa ujenzi wa miradi mikubwa (k.m., barabara na majengo)45.
  2. Epuka Upande wa Forklift Operator
    • Hii ni kazi ya kuanzia yenye mshahara wa chini na ukomo wa ukuaji wa kazi kwa muda mrefu34.
  3. Jipatie Vyeti vya Kimataifa
    • Badala ya kukimbilia nje, jifunze vyeti vya AWS (k.m., Certified Welder) kupitia mafunzo ya VETA kwa ajili ya ajira za kimataifa25.
  4. Shughulikia Umeme wa Magari Baadaye
    • Teknolojia ya magari ya umeme (EV) bado ni mpya Tanzania. Kumbukumbu: VETA inatoa mafunzo ya Mekatroniki kwa wanaotaka kujiandaa5.
  5. Omba Nafasi za Polisi Kama Chaguo la Pili
    • Kama una sifa (kidato cha 4/6, umri 18-25), omba ajira ya polisi kwa mshahara thabiti179.
Muongozo wa Haraka:
  • Hatua 1: Jiunge na kozi ya ufundi wa kuchomelea VETA (omba kupitia vyuo vilivyoruhusiwa)56.
  • Hatua 2: Omba nafasi za kazi za serikali zinazotangazwa mara kwa mara (k.m., ualimu wa ufundi)4.
  • Hatua 3: Jihusishe na miradi ya ujenzi kama mtaalamu huru baada ya kuhitimu.
Hitimisho: Tanzania inahitaji wafundi stadi. Kujikita kwenye ufundi wa kuchomelea kwa sasa kunaweka msingi wa kujiajiri au kupata ajira ya serikali kwa urahisi zaidi.
 
Unamaanisha unachosoma university hauna uhakika kama kinaweza kukuingizia kipato?
 
Back
Top Bottom