Mrithi wa Richmond auza mitambo

Kwa nini inakuwa ngumu kwa TANESCO kununua mitambo yao wenyewe?

Ndugu yangu! TANESCO wanunue mitambo yao mafisadi wa Mkwere watakula wapi? Yaani Tanzania sijui nchi yetu inakwenda mwendo gani huu jamani? Are we not moving anticlockwise? Kwa kweli hapa bila kuiga mifano ya Tunisia na Misri hatutasalimika Uongozi wa Mkwere ni sifuri kabisa lipo linajichekeshachekesha tu!! Hebu awe "serious" bwana nchi gani hii? yaani nchi imekuwa shamba la bibi? Na huyu naye ananunua majenereta hayo baada ya muda mfupi utasikia tunadaiwa tena mabilioni!! Uuuuwiiiiiiii twafaaaa!
 
hiyo mitambo imeshauzwa .... sasa januari anatakaje mitambo iwashwe au iwashwe kimtindo wa another DOWANS ... kwa agreement zipi in tofauti na zile za DOWANS ... je kuna uchunguzi technical unaoonyesha ile mitambo itaendelea kufanya kazi kwa ufanisi ... ninahisi baada yakuvunja mikataba na DOWANS inawezekana hata vile vifaa nyeti vya mitambo hii hasa operating manuals au activators wameshazificha
 
hiyo mitambo imeshauzwa .... sasa januari anatakaje mitambo iwashwe au iwashwe kimtindo wa another DOWANS ... kwa agreement zipi in tofauti na zile za DOWANS ... je kuna uchunguzi technical unaoonyesha ile mitambo itaendelea kufanya kazi kwa ufanisi ... ninahisi baada yakuvunja mikataba na DOWANS inawezekana hata vile vifaa nyeti vya mitambo hii hasa operating manuals au activators wameshazificha

Njia rahisi hapa ni kwa serikali kuachana na hii mitambo!! Watanzania tuvumilie kama ni miezi miwili au mitatu....serikali/ NSSF wanunue mitambo mipya!
 
Njia rahisi hapa ni kwa serikali kuachana na hii mitambo!! Watanzania tuvumilie kama ni miezi miwili au mitatu....serikali/ NSSF wanunue mitambo mipya!


mkuu... nakubaliana na wewe .... nchi ikifuata mkumbo wa januari kwa ajili ya heti kunusuru...bora tutumie miezi mitatu tununue mitambo mingine na kuanza kutafuta investor wa uhakika ...sio vimiradi vya ngeleja vimejaa kama utitiri kila moja vimegawatt viduchu mpaka vijaze gridi ya taifa umeme ushakatika
 
Back
Top Bottom