Acha kukurupuka. Hapo anazungumzia Uwaziri na siyo Ubunge.Sio Brenda tena? Mnatuchosha sasa sisi kenge😛
Demu wako nini tokea jana umemkazia huyu huyu?Acha kukurupuka. Hapo anazungumzia Uwaziri na siyo Ubunge.
Ubunge ni Wa Brenda William Lukuvi View attachment 3564881
Watu aina ya Simbachawene hawatakiwi kabisa kwenye serikali ya Bimsumi.Wataalamu mliosoma Political Science, Je Ndg. Simbachawene anaweza kuwa mrithi wa Hayati Mwendazake Lukuvi???
Wamenyooka SanaWatu aina ya Simbachawene hawatakiwi kabisa kwenye serikali ya Bimsumi.
Neither of them makes a difference and none will.Baada ya msiba wa Lukuvi, lazima atateuliwa mtu wa kurithi kiti chake.
Na kwa maneno ya Rais naona Biteko ama Nape akipewa nafasi hiyo.
Japokuwa Nape amemeza bendera ya chama, hajali kabisa vyama vingine.
uko wapi ndugu mpiga ramli?Baada ya msiba wa Lukuvi, lazima atateuliwa mtu wa kurithi kiti chake.
Na kwa maneno ya Rais naona Biteko ama Nape akipewa nafasi hiyo.
Japokuwa Nape amemeza bendera ya chama, hajali kabisa vyama vingine.
Hii picha Lucas usije ukajikuta una kwea mnazii kwa mkono mmoja maana nakuona hauishii kububujikwa.Acha kukurupuka. Hapo anazungumzia Uwaziri na siyo Ubunge.
Ubunge ni Wa Brenda William Lukuvi h
Ticha Mbaga Jr njoo umpe kozi Luca.Hii picha Lucas usije ukajikuta una kwea mnazii kwa mkono mmoja maana nakuona hauishii kububujikwa.
dronedrake , kijana wenu huyo muunge timu CHAPUTA
secretarybird , KAKA MCHUKUE KIJANA MFUNDISHE COURSE desa lotee la CHAPUTA
Kwa hiyo Lukuvi, Jenista walikuwa na shule kuliko NapeMtu hawezi kuwa Naibu Waziri mkuu aje kuwa Waziri wewe! Ni kumshusha cheo na hadhi.
Kuhusu Nape, elimu na uwezo ni mdogo. Ndio maana unaona wanampaga Habari, Sujui vitu gani apambane na akili ndogo ndogo. Aonekane kideoni, ahojiwe na waandishi n.k the same story kwa Bashite.
Kuna Wizara zina watu wenye akili timamu, kama hizo za Sera, Uratibu zinataka ka shule kawepo kidogo.