Hela mwana haramu. Unaweza kumtukana mamako kwa ajili ya hela.
Yupo sawa tu kusema upo Kenya,mbona mafisadi wa nchi wameiba madini,wanyama wetu na kusafirisha nje ya nchi na still mnawachagua kila siku kuwaongoza,mwacheni nayeye achukue chake,na ingewezekana nchi hi ingeuzwa na kila mtu akagawiwa hela yake na tukaenda kila mtu na nchi yake anayotaka tukaishi kama wageni,mana ndani ya nchi yetu tumekuwa watumwa.
Wakuu mimi niliangalia kipindi kile jana, alichoongea Mpoto hasa ni kuwa ile issue ya kwenda kuperform huko aliletewa na wakenya ambao walikuwa wameaandaa itifaki zote pamoja na matangazo ya TV yeye hakujua kama kuna matangazo ya mlima kilimanjaro, na wala hakujua kama kuna wimbo wa taifa utapigwa. alikuja kushituka pale alipoona wimbo wa taifa wa kenya unapigwa akiwa anaingia kuperfom which means wakenya walimzidi ujanja wakamvalisha ukenya bila yeye kujua. Japo angeweza kukanusha pale pale kuwa mimi ni mtanzania lakini hili linahusu personal instinct sana wengine wanaweza kupata solution ya tatizo haraka wakati mwingine ni mpaka atulie kidogo ndio ajue nini cha kufanya.