Mrisho Gambo: Wapinzani watapotea

Halafu hawajifunzi. Hivi nani ange amini Novatus angerudi kucheza na Mike studio?? Kiburi alichokuwa nacho wakati wa Udc Hai na Moshi leo nae anapanhiwa vipindi
huwa nawaonea huruma sana hawa vijana wa Lumumba
 
Wpinzani tafteni njia nyingine ya kukabiliana na hawa jamaa, kweli mtapotea kama si kupoteana, msifanye mzaha moto huu si wa mchezo sana, mkadhani moto wa mabua, kasi kwenu sasa
 
Atapotea yeye mwenye siasa za kibaguzi tena hana muda mrefu atarudi kufanya kazi zake za awali
 
Alikuwepo kiburi zaidi yake na aliyekuwa na malengo kama yake badala yake kapotea yeye badala yakupoteza chadema. Amuulize Magesa Mulongo
 
Alikuwepo kiburi zaidi yake na aliyekuwa na malengo kama yake badala yake kapotea yeye badala yakupoteza chadema. Amuulize Magesa Mulongo
 


Amesema jambo jema.Ni ushauri mzuri sana.Hata mimi kama mpinzani wa mambo mengine ya Magufuli nimepokea ushauri huo.Na watu wa aina yangu tutafanyia kazi ushauri wake.Tutaipinga Serikali ya Magufuli constructively and objectively.Nina imani wakosoaji (wapinzani) wengine nao watauelewa huo ujumbe.

Hata hivyo kuna jambo moja kubwa ambalo wewe Gambo inabidi ulielewe vizuri.Na katika dini yako ya Uislamu sijui unafundishwaje.Katika Ukiristu ni kwamba lazima ufundishe na kuhubiri kile unachokiishi.Huwezi kuhubiria watu waishi kwa upendo wakati wewe unaongozwa na chuki? Unahubiriaje watu amani wakati wewe ni muumini wa jino kwa jino? Huwezi kuhubiria watu huruma wakati wewe ni katili na rafiki yake watesaji?

Mrisho,Magufuli bosi wako anayaishi anayoyanadi kwa vitendo.Hivyo ndivyo anavyofundishwa katika Ukiristu.Gambo umefanya nini cha kujivunia Arusha hadi sasa? Wenzio Mkoani Pwani kwa sasa wanafungua viwanda tu kwa kwenda mbele.Tanga huko nako kutakuwa kivumbi cha Kiwanda cha Simenti.Wewe unahangaika na watu.Unahangaika na wapinzani.Unachacharika na akina Lema na Meya Calist asubuhi hadi eti mchana!

Tafuta na hamasisha wananchi wako wafungue viwanda.Viwanda vya ukweli vinavyobakiza mtaji na faida ni vya wazawa.Acha kulala, kuota na kupoteza muda kutafuta maneno ya kupashia wakosoaji wako.Hayo unayosema yangeweza kusemeka yenyewe tu kwa vitendo.Umejifunza nini hadi sasa toka kwa boss wako?Yeye leo alikuwa ofisini anapanga mipango ya kuzalisha umeme wa uhakika kwa ajili ya viwanda.Wewe kinyume chake unapovuka na kuwaonyesha wakosoaji wenu "kaburi" lao! Sasa hata wewe ujue ikiwa hutokaa uishi na kutenda "Kikiristu" chepe ya kaburi lako litakuwa ni viwanda.Acha kulala na kuota tu kutaka watu wengine waishi usiyoweza kuyaishi.Inaelekea hujui majukumu yako.Inaelekea falsafa ya "Hapa kazi tu" huielewi barabara!
 
Upinzani unatakiwa kuwepo nchini ili wananchi waweze kuchagua chama wanachokitaka. Pia upinzani unasaidia kuikumbusha serikali kutekeleza ahadi zake ilizokuwa imezitoa. Hivyo, nahisi kuwa vyama Vya upinzani vitaweza kupotea Kabisa endapo katiba yetu itatamka wazi kuwa nchi INA chama kimoja cha siasa lkn vinginevyo vyama Vya siasa vitaendelea kuwepo ili kuleta ushindani na kuwafanya watawala wasijisahau ktk uongozi wako.
 
Hajui analosema wala anachomaanisha Mungu amsaidie apate japo busara kidogo..
 
JIDANGANYENI NA MH JPM, YEYE NA MAKUMI YAKE GAMBO NA MAMOJA, CLOCK ARE TIKING.
 
Atapotea yeye bado anavutiwa pumzi, kijana mnafiki sana huyu, sio wa kumpiga JK vijembe. Vyama anavyovitaka ni vya akina Mruma, Cheyo, Dovutwa na wanasiasa kama mkumbo, Mngwira. Hawezi kuchungulia wapinzani vyama na aina ya upinzani, kuku Wee Gambo.
 
Upinzani uliopo ni masalia. Yaani hauna jipya. Yaani ulishakufa siku nyingi mno. Tz hatuna upinzani. Rais aliposema mtu yeyote aliyepokea mwanachama/wanachama wa CCM aje awapokee pale kibaha mbona walikosekana? Yaani chama sasa ni CCM tu!

Kwa hakika kazi kubwa inayofanyika awamu hii ni kudhibiti ushindani wa kisiasa. Sasa kama hawapo tena kwanini watu wanakosa usingizi na kutumia hata rasilmali za taifa kupambana na watu ambao hawapo? Sababu pekee ya mtu kutamani kuua ushindani wa kisiasa ni ubinafsi na uroho wa madaraka tu tena uliopitiliza.
 
Wapeleke muswada bungeni wa kufuta mfumo vyama vingi, na wabadile katiba kuwepo mfumo chama kimoja ,hakuna atakeye wachalenji tena, wananchi hutaki unafiki
 
kiboko yao nikibiti tu hao
 
Gambo bwana sijui anafikiria kwa kutumia mat.......ko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…