Mrijuana and Illuminati - The Marijuana Conspiracy

images

Siungi mkono wavuta bangi wa mitaani wanaoona ujanja kuvuta na kutumia herb vibaya, naunga mkono medical marijuana na spiritual. Ambao wanaotumia kwa ustaarabu na wasiowakera watu.

Maelezo yako yanashawishi sana. Tatizo liko hapo kwenye nyekundu. Hao unaowasema wanaitumia vibaya ndio wanaoonekana zaidi hadharani. Yaani wamekuwa ndiyo "public face" ya watumiaji wa bangi. Kama ilivyo kwa wanaotetea pombe kwamba inaweza kunywewa "kistaarabu" bila kuleta madhara wala kero kwa jamii, itakuwa vyema pia ukitoa elimu kuhusu udhibiti unaopaswa kuchukuliwa ili bangi ikiruhusiwa basi wasiwepo hao "watumiaji wabaya". Na maelezo yako yazingatie mazingira halisi ya utawala wa nchi yetu uliosongwa na uroho mkubwa wa pesa (excessive greed), rushwa, uzembe, kutojali, n.k. Nasema haya, ili kuhakikisha kama wazo lako linawezekana (feasible) hapa Tanzania ili tusijekuta pamoja na matatizo (wanaita changamoto) kibao tuliyonayo, tunaishia pia kuelemewa na machizi walio-abuse hemp.
 
Maelezo yako yanashawishi sana. Tatizo liko hapo kwenye nyekundu. Hao unaowasema wanaitumia vibaya ndio wanaoonekana zaidi hadharani. Yaani wamekuwa ndiyo "public face" ya watumiaji wa bangi. Kama ilivyo kwa wanaotetea pombe kwamba inaweza kunywewa "kistaarabu" bila kuleta madhara wala kero kwa jamii, itakuwa vyema pia ukitoa elimu kuhusu udhibiti unaopaswa kuchukuliwa ili bangi ikiruhusiwa basi wasiwepo hao "watumiaji wabaya". Na maelezo yako yazingatie mazingira halisi ya utawala wa nchi yetu uliosongwa na uroho mkubwa wa pesa (excessive greed), rushwa, uzembe, kutojali, n.k. Nasema haya, ili kuhakikisha kama wazo lako linawezekana (feasible) hapa Tanzania ili tusijekuta pamoja na matatizo (wanaita changamoto) kibao tuliyonayo, tunaishia pia kuelemewa na machizi walio-abuse hemp........


Ni kwela kabisa ndugu yangu, wapo watu mitaani wanapofanya jambo baya watu husema ni ganja inamzuzua, but utumiaji wa bangi na kufanya violence mimi nashangaa sana hapa bongo inahusishwa na bangi.

Hemp ni relaxer na mtu anapoitumia then akafanya violence kisayansi wataalam wanaamini THC haina uhusiano na violence wala kumshawishi mtu kufanya uhalifu.

Moja kati ya sababu kubwa ya kuikataza Hemp ni kuwa mtumiaji anaweza kufanya uhalifu lakini tafiti mbalimbali za karibuni zinaonyesha hakuna uhusiano kati ya sehemu za ubongo zinazokuwa high na sehemu za maamuzi kuleta violence.

Unajua tatizo ni watu wanajikaririsha na mwishowe wanachukulia tofauti mfano ukiwa unasikia kuwa Coca Cola ukiinywa unaweza ukafanya lolote hata (yaani mtu hakuzingui; kwa lugha ya mtaani) ukinywa siku moja utajiwekea mawazo kuwa wewe ni mkali kumbe ni fikra za kukaririshwa.

Marijuana itself does not induce violence. People don't smoke a joint and decide to shoot somebody. What produces the violence associated with marijuana is that it is illegal.

The same dynamic caused the murderous Capone-style violence during Prohibition. And once Prohibition was repealed, the violence associated with the bootleg trade vanished, although the gangsters that it spawned did not.

Before any sensible discussion can take place about how to deal with illegal drugs in the United States, we must make the distinction between violence associated with a drug and violence associated with the drug trade.
-- Judy Mann, in the Washington Post, May 23, 2001, p. C15

Marijuana does not cause violence. Some people who support prohibition claim that marijuana itself causes violence. This was one of the original claims used to justify making marijuana illegal, but this claim is false. In fact, people who are high on marijuana tend to be relaxed, mellow, and too happy to want to fight. See "Psychoactive Substances and Violence" by Jeffrey A. Roth. In a report for the US Department of Justice, Roth noted that, rather than causing violence, marijuana actually "temporarily inhibit violent behavior."



Naamini watu ambao wanatumia Hemp wakiwa na ustaarabu wanaweza kuchangia sana kwa kuleta awareness kwa watu just like Bob Marley, Peter Tosh, Washington, Bill gates, Chris Rock na watu wengine walivyoishi kwa amani.
 
Mbona hao wote ni BINADAMU TU.................. mbele za Mungu watasimama na kujibu kama walitumia huo mmea kwa kusudi gani...........kama ni kwa UTUKUFU WA MUNGU AU KWA TAMAA ZAO.

Kwani Hemp aliiumba nani? Aliiumba mwanadamu au Mungu? Hemp ni tofauti na relaxer zote duniani kwa sababu hemp ni NATURAL, sio kama vitu vingine ambavyo lazima vipite kiwandani na kuwekewa kemikali. Watu wa China walianza kuitumia even 9000BC na hata wana wa israeli walikuwa na watumia Hemp katika Judaism na hata Hinduism na Buddha walianza kuitumia BC katika imani zao mfano Hinduism wanaamini kuwa Hemp ni mmea uliobarikiwa na ulikuwa unatumiwa na Krishna. Waisraeli wana mimea mitano (Sacred plants) ambao walikuwa wanatengenezea mafuta ya kumsimika mfalme na pia priests walikuwa wanaichoma mimea hiyo na kuupata moshi wake wakiamini ni meditation hapo ni kabla hata ya kuja kwa Yahshua(Yesu). Kabla ya mwaka 1930's Hemp ilikuwa legal na hata dini nyingi ziliipiga marufuku ila dini ambazo zina historia ndefu na Hemp ziliendelea kuiacha na mpaka leo zinaendelea. America alikuwa na interest zake na america ni Babylon mpya. They control governments and religions.

[h=4]And I will raise up for them a plant of renown, and they shall be no more consumed with hunger in the land, neither bear the shame of the heathen any more. -- Ezekiel 34:29[/h]
[h=4][/h]
[h=4][/h]
[h=4][/h]
[h=4]"The Lord said unto me, 'I will take my rest and I will consider in my dwelling place like a clear heat upon herbs.' " -- Isaiah 18:4-5[/h]
[h=4][/h]
[h=4][/h]
[h=4][/h]
"Not that which goeth into the mouth defileth a man; that which cometh out of the mouth defileth a man." (Mat. 15:11)

God said, "Behold, I have given you every herb bearing seed which is upon the face of all the earth.…To you it will be for meat." … And God saw everything that he had made, and, behold, it was very good. (Genesis 1:29-31) The Bible predicts some herb's prohibition. "Now the Spirit speaketh expressly, that in the latter times, some shall … speak lies in hypocrisy … commanding to abstain from meats which God hath created to be received with thanksgiving of them which believe and know the truth. (Paul: 1 Timothy 4:1-3)




Can you tell whats the plant of Renown unaozungumziwa kwenye bible? Kuna neno Cannabis limetoka kwa wayahudi kkutoka Kannm bous na lina maana ya sacred plants. Tafsiri ya herb ilitoka katika mmea huo na umetajwa zaidi ya mara 50 katika hebrew bible.
 
nilishaona documentary moja kuhusu hili suala, but I had hard time to believe kwamba sigara inaharibu mapafu ila bange is not poisonous! mi naamini kuna vitu vingine havina takwimu, lakini hii haimaanishi havi-exist. Mi naona hii imekaa ki-conspiracy zaidi kuliko facts..kama mmea una faida hizo zote za kiuchumi, akina wazee wa one man armies akina Castro, Ahmedinajad & co wangeotesha sana ili kudefy the conformity. Maana hatuoni wauzaji wakubwa wakiuza products zingine zaidi ya bange nibangue.....

Ni kweli, inashangaza but some claims that hemp ina maajabu yake and wapo wanasayansi ambao waliichunguza na wakasema kuwa Hemp haisababishi kansa kwa sababu,

Kansa inachochewa sana na Nikotin ambayo ipo kwenye sigara lakini Hemp haina hiyo kemikali, Hemp ina THC ambayo haina uwezo wa kuleta kansa ila inaweza kublock seli za kansa.

Kuhusu moshi wa Hemp ni kuwa haikai kwenye mapafu, hemp ina mafuta na hata THC ipo katika hali ya mafuta hivyo hainati kwenye mapafu ila inaweza kukaa kwa masaa matatu tu na THC inakaa kwa wiki tatu tu then baada ya hapo mtu akiitumia, ukimpima afya yake baada ya kipindi fulani hana kemikali hata moja katika mwili wake teeeena, na anakuwa sawa na mtu ambaye hajatumia.

Pili, THC inatabia ya kuzuia na kupunguza seli za kansa mwilini, hii ilijulikana miaka ya 80 baada ya madaktari kukaa na kujiuliza ni kivipi Bob Marley aliweza kuishi na kansa ya mguu iliyokuwa imesababishwa na kuumia baada ya kucheza mpira, kansa ile alikuwa anaishi nayo kwa muda wa miaka 8 wakati sio kawaida kwani huichukui zaidi ya Miaka 2 tu.

Ndipo ikaonekana kuwa THC inasaidia na ndio maana Bob aliweza kufanya show zake huku akiwa na kansa ya miaka 8. Ila ni hatari sana kama utachanganya marijuana na sigara, kiafya unaweza kupata kansa kwa kuwa THC na Nikotin havipatani.
 
Sijakasirika ninamuuliza swali anashindwa kunijibu tunazungumza mambo ya Marijuana yeye huyo Apolo analeta mambo ya Ushoga ndio ninamuuliza mambo ya kuvuta Bangi na mambo ya Ushoga wapi na wapi?au nyie mnae vuta Bangi mnavutiwa na mambo ya Ushoga? Amsterdam WaTanzania wakishindwa kujibu jambo wanatafuta jambo jingine jibu kwanza hilo la kuvuta Bangi Serikali ya Tanzania hairuhusu mtu kuvuta Bangi au nimekosea mkuu?

Mimi sikubisha kuwa serikali yetu imekataza bangi (japokuwa takwimu za sasa hivi Tanzania ipo kwenye Probably Illegal yaani haijaweka policy za kutosha kwa hilo na ni nchi nyingi za Africa.

Kilichonifanya nikupe na mfano wa suala la ushoga ni kuwa Tanzania na nchi nyingi hasa za kimasikini wao hufuata maneno ya WAKUU. Wahndzabe wanatumia marijuana nenda hata wikipedia wameelezea hilo lakini umewahi kuona police wameenda huko na kuwafunga? Kwa sababu tamaduni hizi tumeletewa, hata serikali ikiruhusu ushoga wewe huwezi kukataa (i myself i dont believe in Adam and Steve, I believe in Adam and Eve), pia siiamini Serikali kwa kuwa tunafuata ya wakubwa wala hatuwezi kukaa na kufikiria mambo yetu, Herb sio kwa kuvuta tu, tunaweza kuitumia katika matumizi ya maana mfano karatasi (sisi hatuna climate nzuri ya kupanda miti mizuri ya mbao, lakini Herb inalimika na inaendana na mazingira, je tutaacha kutengeneza karatasi kisa marekani ameikataza?), tunaweza kutumia kama dawa ya kanza, kutengenezea mafuta na chakula cha wanyama na mimea. Mbona cocaine ni marufuku lakini mmea wake unapandwa na unatumika na hospital kwa kibali maalumu, sasa herb na cocain kipi bora? Mbona kuna nchi zinaruhusu herb kwa kiwango maalum na inawaongezea ushumi mfano Netherland?
 
BAADA ya kuwepo kwa baadhi ya tafiti zilizokuwa zikiruhusu uvutaji wa bangi kwa madai kwamba ilisaidia wagonjwa waliosumbuliwa na msongo wa mawazo, hali hiyo imesababisha baadhi ya nchi kuruhusu matumizi yake.


Pamoja na mawazo ya wengi kufikiria kuwa kutokana na nchi ya Jamaica ndiyo ilikuwa mstari wa mbele kwa watumiaji wengi ingekuwa ya kwanza kuruhusu bangi, lakini ukweli ni kwamba nchi ya Canada ndiyo ilikuwa ya kwanza kukubali bangi kutumiwa kama dawa ya maradhi.


Baada ya utafiti huo wa awali hivi karibuni watafiti wengine wamegundua kuwa matumizi ya bangi kwa muda mrefu yanasababisha kujiongezea madhara badala ya kutibu kama ilivyokuwa ikisemekana hapo awali.


Watafiti hao wamekwenda kinyume na wale wa kwanza kwa kusema kuwa matumizi yake yana uwezekano mkubwa wa kumletea mtumiaji magonjwa ya kupungua uzito mara kwa mara, magonjwa ya figo, ini na ugonjwa wa akili.


Watafiti waliogundua athari hizo ni wale wanaotokea nchini Australia ambao katika utafiti wao wamegundua kuwa zaidi ya vijana 3,100 walio katika umri wa miaka 20 ndio wamekuwa watumiaji wakubwa wa bangi.


Utafiti wao umekwenda mbali na kubaini kwamba asilimia 18 ya vijana hao ni wale waliojiingiza katika matumizi ya dawa hizo za kulevya kwa muda wa miaka miwili au mitatu.


Asilimia nyingine 16 ya vijana wa umri huo wamebainika kutumia kwa muda wa kati ya miaka minne hadi mitano.


65 kati ya watumiaji wamegundulika wameshaathirika na maradhi ya ugonjwa wa akili.


Wakati hao wakisumbuliwa na tatizo hilo wengine 233 wamebainika kuathirika kwa figo na ini.


Watafiti wamebaini vijana wengine kati yao wanasumbuliwa na tatizo la kupata uchizi (wehu).


Baada ya kubaini hayo watafiti wametoa ushauri kwa vijana kutotumia dawa hizo za kulevya kwa vijana kwa zaidi ya miaka sita au zaidi tangu pale siku ya kwanza alipoanza kutumia.


Wanasema kuwa kwa wale ambao sasa wamevuta kwa muda mrefu kati ya miaka 15 na zaidi wengi wao wamekumbwa na tatizo la kiakili.


Kwa mujibu wa Dk. John McGrath, wa kituo cha uchunguzi wa afya ya wagonjwa wenye mtindio wa ubongo cha Queensland, nchini Marekani, anasema: “Wengi wa wagonjwa ambao wamekumbwa na matatizo hayo tumegundua ni wale waliowahi kutumia bangi kwa muda mrefu na hatimaye kujikuta wakipata tatizo la akili.”


Daktari huyo anasema kuwa ni nadra sana kukutana na wagonjwa wa akili vijana halafu wakawa hawajawahi kutumia bangi, iwe mwaka mmoja au zaidi.


Anasema kuwa iwapo matumizi ya bangi yatakomeshwa tatizo la vijana kupata matatizo ya utaahira yatapungua kwa kiasi kikubwa duniani.


Bangi ni nini, inatumiwaje?


Kwa hapa nchini na baadhi ya nchi, bangi imetambulika kama dawa ya kulevya ambayo imekuwa na majina mengi kutokana na kutumiwa na kundi la vijana zaidi kuliko watu wazima.


Bangi imekuwa ikijulikana kwa majina mengi ikiwamo, dawa, ganja, hashish, kijiti, marijuana, kaya blunt na mengineyo, ilimradi kutegemeana na sehemu inapotoka.


Watumiaji wengi wamekuwa wakiitumia kwa kuvuta kama sigara au wengine hutumia kwenye kiko kwa kuvuta.


Bangi ni bidhaa iliyochanganyika na kemikali hatari ambazo ni sumu na huathiri afya.


Wapo baadhi ya watumiaji wa bangi ambao wamekuwa wakiitumia kwa kuiweka katika maji wakiifanya kama majani ya chai na wengine huchanganya kwenye chakula.


Bangi inaathiri vipi ubongo?


Wanasayansi wamebaini kuwa matatizo makubwa yanaanza kupatikana kutokana na bangi kuingia kwenye ubongo wa mtumiaji na huathiri mfumo mzima wa akili.


Tatizo kubwa linalomkumba mvuta bangi ni kunyemelewa na magonjwa ya ugonjwa wa shinikizo la damu (BP), kupoteza kumbukumbu, mawazo, anaridhika hata kama ana matatizo.


Pia mtumiaji wa kila siku anakuwa akikumbwa na mabadiliko ya mara kwa mara katika ubongo wake.


Imebainika kuwa bangi inachangia kuongeza mapigo ya moyo kutoka asilimia 20 hadi 100, muda mfupi tu wa saa tatu baada ya kuvuta.


Bangi huaribu mapafu, kwani ina zaidi ya asilimia 50–70 ya kemikali aina ya carcinogenic hydrocarbons kuliko mvutaji wa tumbaku.


Mtumiaji wa bangi hupumua kwa tabu sana kuliko yule anayevuta tumbaku ingawa wote wanaharibu mapafu, pamoja na kuwa na uwezekano mkubwa wa kukaribisha ugonjwa wa kansa.


Imebainika kuwa watu wanaovuta bangi wamekuwa wakisumbuliwa zaidi na matatizo mengi ya kiafya.


Watafiti wamegundua kuwa wavutaji wengi wa bangi wamekuwa hawana mahusiano mema na watu walionao karibu kwani wamekuwa chanzo cha matatizo kutokana na wao kuona kila wanachofanya ndiyo sahihi na cha wenzao si sahihi.


Kuna myth na facts za bangi mkuu, ningependa sana kama ungekuwa unaonyesha source kwa sababu source za kabla ya 2008 nyingi zinatofautiana kwa kiasi kikubwa, tatizo limekuja kuonekana kuwa, watu wengi ambao wanapimwa wanaonekana na madhara kwa kuwa ni watumiaji wa drugs nyingine.


Mfano wa myth ambazo sasa hivi haziungwi mkono ni hizi hapa..
Myth : Marijuana causes brain damage
This Myth is FALSE
Because,
None of the medical tests currently used to detect brain damage in humans have found harm from marijuana, even from long term high-dose use.​
An early study reported brain damage in monkeys after six months exposure to high concentrations of marijuana smoke. These tests aren’t to be taken serious, because these monkeys were tested with outdated technology thus making the result inaccurate.​
In a recent, more carefully conducted study, researchers found no evidence of brain abnormality in monkeys that were forced to inhale four to five marijuana cigarettes every day for a year. This clearly proves that marijuana leaves NO brain damage.​
The claim that marijuana kills brain cells is based on a report dating back 25 years and has never been supported by any scientific study.

Myth: Today’s marijuana is more potent and more harmful than it was many years ago.

Fact: There is no medical evidence that shows high-potency marijuana is more harmful than low-potency marijuana. Marijuana is literally one of the least toxic substances known. High-potency marijuana is actually preferable because less is of it consumed to obtain the desired effect; thereby reducing the amount of smoke that enters the lungs and lowering the risk of any respiratory health hazards. Claiming that high-potency marijuana is more harmful than low-potency marijuana is like claiming wine is more harmful than beer.


Myth: Smoking marijuana can cause cancer and serious lung damage.


Fact: There chance of contracting cancer from smoking marijuana is minuscule. Tobacco smokers typically smoke 20+ cigarettes every day for decades, but virtually nobody smokes marijuana in the quantity and frequency required to cause cancer. A 1997 UCLA study (see page 9) concluded that even prolonged and heavy marijuana smoking causes no serious lung damage. Cancer risks from common foods (meat, salt, dairy products) far exceed any cancer risk posed by smoking marijuana. Respiratory health hazards and cancer risks can be totally eliminated by ingesting marijuana in baked foods.


Myth: Marijuana contains over 400 chemicals, thus proving that marijuana is dangerous.


Fact: Coffee contains 1,500 chemicals. Rat poison contains only 30 chemicals. Many vegetables contain cancer-causing chemicals. There is no correlation between the number of chemicals a substance contains and its toxicity. Prohibitionists often cite this misleading statistic to make marijuana appear dangerous.


Myth: Marijuana is a gateway drug–it leads to harder drugs.


Fact: The U.S. government’s own statistics show that over 75 percent of all Americans who use marijuana never use harder drugs. The gateway-drug theory is derived by using blatantly-flawed logic. Using such blatantly-flawed logic, alcohol should be considered the gateway drug because most cocaine and heroin addicts began their drug use with beer or wine–not marijuana.


Myth: Marijuana is addicting.


Fact: Marijuana is not physically addicting. Medical studies rank marijuana as less habit forming than caffeine. The legal drugs of tobacco (nicotine) and alcohol can be as addicting as heroin or cocaine, but marijuana is one of the least habit forming substances known.


Myth: Marijuana use impairs learning ability.


Fact: A 1996 U.S. government study claims that heavy marijuana use may impair learning ability. The key words are heavy use and may. This claim is based on studying people who use marijuana daily–a sample that represents less than 1 percent of all marijuana users. This study concluded: 1) Learning impairments cited were subtle, minimal, and may be temporary. In other words, there is little evidence that such learning impairments even exist. 2) Long-term memory was not affected by heavy marijuana use. 3) Casual marijuana users showed no signs of impaired learning. 4) Heavy alcohol use was cited as being more detrimental to the thought and learning process than heavy marijuana use.


Myth: Marijuana is a significant cause of emergency room admissions.


Fact: The U.S. government reports that marijuana-related emergency room episodes are increasing. The government counts an emergency room admission as a marijuana-related episode if the word marijuana appears anywhere in the medical record. If a patient tests positive for marijuana because he/she used marijuana several days before the incident occurred, if a drunk driver admits he/she also smoked some marijuana, or if anyone involved in the incident merely possessed marijuana, the government counts the emergency room admission as a “marijuana-related episode.” Less than 0.2% of all emergency room admissions are “marijuana related.” This so-called marijuana-causes-emergencies statistic was carefully crafted by the government to make marijuana appear dangerous.


Kutoka katika takwimu za web ya Drugs-abuse

 
Nakumbuka mara yangu ya kwanza kuonja 'mmea wa kondeni' a.k.a Marry Jane nilikuwa darasa la 5 adi nafika secondary tayari nilishakuwa pusher wa nguvu!

Asikudanganye mtuu mmea wa kondeni ni mtamu kwelikweli

Duu kumbe hata humu jamvin kuna wavuta 'bangee' hii kali ya mwaka!
 
ATHARI ZA BANGI


BANGI


Bangi ni mmea wenye rangi ya kijani,ambao hutoa majani na maua ambayo hutumika kama kilevi.Bangi hustawi karibu maeneo yote hapa nchini na hutumika zaidi kuliko dawa zingine za kulevya.


Bangi hupatikana kwa wingi katika mikoa ya Mara,Iringa,Arusha,Kilimanjaro,Shinyanga,Tabora,Tanga,Kagera,Mbeya.Morogoro.n.k


Madhara ya Bangi


Matumizi ya bangi husababisha madhara mbali mbali ikiwa ni pamoja na:


· Kuchanganyikiwa,ukatili,ukorofi,uhalifu,n.k.


· Kuona,kusikia na kuhisi vitu visivyokuwepo.


· Kupoteza kumbukumbu


· Utegemezi na usugu


· Moshi wa bangi unapoingia kwenye mapafu hutengeneza kitu kama lami ambayo huganda na kuathiri utendaji kazi wa mapafu.


· Bangi ni kemikali (sumu) inayosababisha (saratani) zaidi ya tumbaku (sigara).


· Kupunguza kinga ya mwili


· Mtumiaji kuridhika na hali duni aliyonayo hivyo kukosa mwamko wa maendeleo huku akijihisi ni mwenye mafanikio makubwa.


· Kuumwa koo,kupata kikohozi na saratani ya mapafu.


· Kuathirika kwa mfumo wa uzazi ikiwa ni pamoja na kuzaa watoto wenye mtindio wa ubongo na mabadiliko ya hedhi kwa wanawake.


· Kuharibika mimba


· Kuzaa mtoto njiti


Imani na hisia potofu kuhusu uvutaji wa bangi


Je ni kweli bangi huongeza uwezo wa kusoma na kuelewa zaidi?Hapan.Bangi hufanya mishipa ya damu na ubongo kusinyaa,kunakosababisha kupungua kwa uwezo wa kufikiri na kukumbuka.Utafiti umebainisha kuwa wanafunzi waliovuta bangi kwa matarajio hayo wameshindwa kufaulu.


Utajiepushaje na utumiaji wa bangi?


· Jiepushe na makundi ya watumia bangi


· Shiriki kwenye michezo


· Jifunze na kuzingatia stadi za maisha


Sheria inasemaje kuhusu bangi?


Kutumia,kuhamasisha matumizi,kuuza,kusafirisha,kuhifadhi au kujihusisha kwa namna yoyote ile na bangi ni kosa la jinai.Adhabu kwa makosa haya hufikia hadi kifungo cha maisha

Mental slavery!!!!!!!


Mkuu, umeongea mengi sana na mengine ni ya kweli na mengine si ya kweli(mengi ya uongo). Hivi umewahi kujiuliza ni researcher gani wa Tanzania ambaye alifuatilia hayo yote kama ni kweli?
Tatizo la Watanzania hapo tayari kufuatilia ukweli ila wanaweza kukaa kijiweni na kupiga zogo za kukaririshana dhana ambazo wazisikia kwa watu. Sawa ni kweli umeogea mengi lakini no source...... Tanzania imeanza kukataza herb kwa influence ya nje na hakuna research iliyofanya. Mimi binafsi sio mtu wa kupelekwa na serikali, serikali ni watu kama sisi na sio spirit kusema kuwa may be its right, watu pia ni wadhaifu na sio wakamilifu kila siku na katika kila kitu. Madhara unayoyataja ni unatumia mawazoo yale ya 1930 katika mkutano uliofanywa wa kupiga vita Herb, na tafiti nyngi za sasa ni tofauti na zamani kwa kuwa zamani walikuwa wanapima watu ambao walikuwa wanatumia drugs nyingine mfano caffein, sigara na alcohol. Sasa hivi watumia nyani na watu ambao sio addicted na ambao hawajawahi kujaribu vitu vingine na walio wanza kutumia herb baada ya kufikisha miaka 18.

Hata serikali yako ikisema ni marufuku kumtenga shoga huko barabarani utakubali tu kwa kuwa ni serikali yako imesema hivyo na hata ikikupa adhabu utakubali kwa sababu ndio maamuzi hayo, cha msingi tambua kuwa mawazo hayo yapo influenced na nini na nani? je huyo wa kwanza kusema hivyo alishawishiwa na nini? pia iwe ruhusa kwa watafiti wengine kutafuta ukweli na sio kukataza watu kuchunguza kisa ilishachunguzwa na nchi zinazotupa misaada. Umeshawahi kuwauliza wahdzabe wamekufa wangapi na wamepata madhara mangapi tangu watumie herb? maana ni sehemu ya tamaduni zao tangu miaka na miaka hata kabla ya ukoloni na invations za foreigners.



PIA MOJA YA TATIZO, UNACHUKULIA RUHUSA YA KUVUTA TU, NDUGU YANGU, MIMI NINAZUNGUMZIA NA MATUMIZI YA KIUCHUMI NA KIAFYA NA SIO KIJAMII TU. Kuna products nyngi sana za herb, Mbona india wanatumia herb katika kutengeneza vitu mfano mafuta, dawa, loshen, chakula n.k? Usiegemee kwenye kuvuta tu!

 
Marijuana History Milestones
BC
7000 to 8000Dried hemp woven into fabric
6000Hemp seeds used as food by the Chinese
2727Cannabis used as a medication in China
1200Marijuana used as medication in India
800Cannabis becomes the ‘sacred grass' of the hindus
700 to 300Marijuana becomes high status plant in Scythia An ancient region of Eurasia extending from the mouth of the Danube River on the Black Sea)
500Marijuana plant was introduced into Europe
AD
500-600Cannabis is mentioned in the Jewish sacred text, the Talmud
900 to 1000Cannabis becomes popular as a ‘recreational drug' in the Arab world, where alcohol was prohibited
1492Columbus did not just ‘sail the ocean blue' he also introduced the cannabis Sativa plant to America
1619In Jamestown, Virginia, marijuana becomes a compulsory crop and is used as a trading crop between US and Central and South Asia
1797George Washington grows marijuana
1798Napoleon bans the use of marijuana after noting the amount of marijuana smoked by the Egyptians
1840Cannabis based medicines available in America and hashish medications sold in Persia (Iran)
1876Marijuana gifted to the Americans by the Sultan of Turkey resulting in an sudden increase in Turkish smoking parlors across North East US
1906The FDA was formed, giving the government an insight into drug use within the country
1908Henry Ford uses hemp plastic to make the first Model T. He fuels it with ethanol made from hemp.
1913Anti-marijuana law passed in California, banning the use of "preparations of hemp, or loco weed
1915Anti-marijuana law passed in Utah
1919Anti-marijuana law passed in Texas
1924Anti-marijuana law passed in Louisiana
1927Anti-marijuana law passed in New York
1928Recreational use of marijuana outlawed in the UK
1930Harry J Anslinger becomes first commissioner of the Federal Bureau of Narcotics, declaring war on drugs
1930First use of the word ‘Muggles' – not non-wizards as per J K Rowling but bales of marijuana
1936Reefer Madness propaganda film released stating that marijuana causes madness.
1937Marijuana tax introduced into the US – pay a dollar and you could legally grow and sell marijuana. Proof of paying the tax was a stamp; however, the Treasury did not issue any stamps.
1937First marijuana conviction; Samuel R Caldwell was convicted of selling the marijuana when not in possession of the tax stamp.
1944New York Mayor, Fiorello La Guardia, called for abolition of the tax stamp.
1950Harry J Anslinger claims that marijuana is a gateway drug to heroin.
1951Passing of the Boggs Act results in ruthless sentences for drug offenses because drugs were, apparently, a tool of Communist China.
1956Narcotic Control Act classifies marijuana as dangerous as heroin and penalties increase even further
1961Anslinger went to the United Nations and was successful in convincing more than 100 other countries to consolidate their drug laws with those of America, thereby creating a single convention. Thus marijuana became globally illegal
1972It is estimated that 24 million Americans had used marijuana
1972Don Crowe – Vietnam War veteran was sentenced to 50 years for selling 1 ounce marijuana. His customer was an undercover police officer and this was Crowe's first offense.
1972The National Commission on Marijuana and Drug Abuse released a report that showed marijuana use did not lead to crime. The researchers also reported that police were selective in the people they targeted, going for people with a certain ‘look.' President Nixon, who had commissioned report, decided to ignore the findings (he reportedly never read the report) and continued with his anti-marijuana crusade.
1972The Drug Enforcement Agency is created, pulling all the American drug resources into one agency. The DEA had the authority to enter homes without knocking.
1980sPresident Reagan is in power and there is a reported one arrest every 38 seconds for the violation of marijuana laws
1980sJudge Francis law recommends the reclassification of marijuana as a prescription drug. No action was taken.
1998Medical Marijuana becomes legal in Washington
19961999
California passes Proposition 215, allowing the use of medical marijuanaUse of medical marijuana becomes legal in Alaska
1999Use of medical marijuana legalized in Maine
1999Medical marijuana becomes legal in Oregon
2000Hawaii legalizes medical marijuana
2001Medical Marijuana becomes legal in Nevada
2003Medical marijuana becomes legal in Canada
2003Maryland approves the use of medical marijuana. This law requires the court to consider a defendant's use of medical marijuana to be a mitigating factor in marijuana-related state prosecution. If the patient, post-arrest, successfully makes the case at trial that his or her use of marijuana is one of medical necessity, then the maximum penalty allowed by law would be a $100 fine.
2003Study published in the Annals of Internal Medicine concludes there are "no major short-term harmful effects, and possibly some beneficial effects" from using marijuana medically in HIV-infected patients taking protease inhibitors
2003In the Netherlands pharmacies become legally obligated to stock and dispense medical marijuana. They are also required to advise users of the benefits of cannabis tea.
2003US Government patent the therapeutic use of cannabinoids as antioxidants and neuroprotectants.
2003California: S.B. 420 signed into law, which will create an ID card for medical marijuana users to show law enforcement officers.
2003US Supreme Court refuses to hear an appeal in the case of Conant v. Walters, thus turning down "the Bush administration's request to consider whether the federal government can punish doctors for recommending or perhaps even talking about the benefits of the drug [medical marijuana] to sick patients."
2003Of the Deans who responded to a confidential poll, over 60% believed that 'physicians should have the legal right to recommend or prescribe marijuana to receive symptoms of medical complaints.
2003In the case of Ashcroft v Raich, the US 9th Circuit Court of Appeals ruled 2:1 that people who use marijuana for medical purposes cannot be prosecuted by the federal government so long as they grow their own or obtain it from other growers without charge.
2004Marijuana reclassified in the UK from a Class B drug to a Class C. Penalty for cannabis possession reduced from 5 year maximum prison sentence to 2 year maximum sentence.
2004Vermont becomes the 10[SUP]th[/SUP] state to decriminalize medical marijuana.
2004Limited use of medical marijuana becomes legal in Montana.
2005In the case of Gonzales v. Raich (previously Ashcroft v. Raich), the United States Supreme Court ruled that the Commerce Clause of the United States Constitution allowed the federal government to ban the use of cannabis, including medical use. The court found the federal law valid, although the cannabis in question had been grown and consumed within a single state, and had never entered interstate commerce.
2005The Supreme Court rules that, "Federal authorities may prosecute sick people who smoke pot on doctors' orders," concluding that state medical marijuana laws don't protect users from a federal ban on the drug. One week later, the House voted down an amendment that would have stopped the Justice Department from bringing such case.
2006Rhode Island legalizes medical marijuana.
2006A large research study undertaken at UCLA finds that smoking marijuana, even regularly and heavily, does not lead to lung cancer.
2007Medical marijuana becomes legal in New Mexico.
2007Rhode Island medical marijuana act amended.
2008In Michigan an act is passed that removes state-level criminal penalties on the use, possession and cultivation of marijuana by patients who have been diagnosed by a physician as having a debilitating medical condition.
2009Cannabis reclassified to Class B in the UK
2010New Jersey approves medical marijuana bill: New Jersey Compassionate Medical Marijuana Act was passed by the state Assembly in a 48-14 vote
2010A board of Iowa pharmacists voted for the reclassification of cannabis to a schedule 2 drug – that is they recognize the benefits of medical marijuana and support its legalization within the state.
2010Study commissioned in Tennessee to help legislature decide whether and how to implement a system of patient registration and medical marijuana distribution.
2010Kansas 2010 Medical Marijuana Act introduced to the House by Rep Gail Finney
2010Arkansas supporters of medical cannabis release draft three of their Medicinal Cannabis Act of 2011
2010Use of medical marijuana in Arizona to appear on November ballot paper.
2010Use of medical marijuana in Massachusetts to appear on November ballot paper.
2010Peter Buckley announces plans to introduce the Oregon Cannabis Revenue Act(OCRA) to the state legislature.
2010South Dakota to ballot for medical marijuana in November.
 
Marijuana History Milestones
BC
7000 to 8000Dried hemp woven into fabric
6000Hemp seeds used as food by the Chinese
2727Cannabis used as a medication in China
1200Marijuana used as medication in India
800Cannabis becomes the ‘sacred grass’ of the hindus
700 to 300Marijuana becomes high status plant in Scythia An ancient region of Eurasia extending from the mouth of the Danube River on the Black Sea)
500Marijuana plant was introduced into Europe
AD
500-600Cannabis is mentioned in the Jewish sacred text, the Talmud
900 to 1000Cannabis becomes popular as a ‘recreational drug’ in the Arab world, where alcohol was prohibited
1492Columbus did not just ‘sail the ocean blue’ he also introduced the cannabis Sativa plant to America
1619In Jamestown, Virginia, marijuana becomes a compulsory crop and is used as a trading crop between US and Central and South Asia
1797George Washington grows marijuana
1798Napoleon bans the use of marijuana after noting the amount of marijuana smoked by the Egyptians
1840Cannabis based medicines available in America and hashish medications sold in Persia (Iran)
1876Marijuana gifted to the Americans by the Sultan of Turkey resulting in an sudden increase in Turkish smoking parlors across North East US
1906The FDA was formed, giving the government an insight into drug use within the country
1908Henry Ford uses hemp plastic to make the first Model T. He fuels it with ethanol made from hemp.
1913Anti-marijuana law passed in California, banning the use of “preparations of hemp, or loco weed
1915Anti-marijuana law passed in Utah
1919Anti-marijuana law passed in Texas
1924Anti-marijuana law passed in Louisiana
1927Anti-marijuana law passed in New York
1928Recreational use of marijuana outlawed in the UK
1930Harry J Anslinger becomes first commissioner of the Federal Bureau of Narcotics, declaring war on drugs
1930First use of the word ‘Muggles’ – not non-wizards as per J K Rowling but bales of marijuana
1936Reefer Madness propaganda film released stating that marijuana causes madness.
1937Marijuana tax introduced into the US – pay a dollar and you could legally grow and sell marijuana. Proof of paying the tax was a stamp; however, the Treasury did not issue any stamps.
1937First marijuana conviction; Samuel R Caldwell was convicted of selling the marijuana when not in possession of the tax stamp.
1944New York Mayor, Fiorello La Guardia, called for abolition of the tax stamp.
1950Harry J Anslinger claims that marijuana is a gateway drug to heroin.
1951Passing of the Boggs Act results in ruthless sentences for drug offenses because drugs were, apparently, a tool of Communist China.
1956Narcotic Control Act classifies marijuana as dangerous as heroin and penalties increase even further
1961Anslinger went to the United Nations and was successful in convincing more than 100 other countries to consolidate their drug laws with those of America, thereby creating a single convention. Thus marijuana became globally illegal
1972It is estimated that 24 million Americans had used marijuana
1972Don Crowe – Vietnam War veteran was sentenced to 50 years for selling 1 ounce marijuana. His customer was an undercover police officer and this was Crowe’s first offense.
1972The National Commission on Marijuana and Drug Abuse released a report that showed marijuana use did not lead to crime. The researchers also reported that police were selective in the people they targeted, going for people with a certain ‘look.’ President Nixon, who had commissioned report, decided to ignore the findings (he reportedly never read the report) and continued with his anti-marijuana crusade.
1972The Drug Enforcement Agency is created, pulling all the American drug resources into one agency. The DEA had the authority to enter homes without knocking.
1980sPresident Reagan is in power and there is a reported one arrest every 38 seconds for the violation of marijuana laws
1980sJudge Francis law recommends the reclassification of marijuana as a prescription drug. No action was taken.
1998Medical Marijuana becomes legal in Washington
19961999
California passes Proposition 215, allowing the use of medical marijuanaUse of medical marijuana becomes legal in Alaska
1999Use of medical marijuana legalized in Maine
1999Medical marijuana becomes legal in Oregon
2000Hawaii legalizes medical marijuana
2001Medical Marijuana becomes legal in Nevada
2003Medical marijuana becomes legal in Canada
2003Maryland approves the use of medical marijuana. This law requires the court to consider a defendant’s use of medical marijuana to be a mitigating factor in marijuana-related state prosecution. If the patient, post-arrest, successfully makes the case at trial that his or her use of marijuana is one of medical necessity, then the maximum penalty allowed by law would be a $100 fine.
2003Study published in the Annals of Internal Medicine concludes there are “no major short-term harmful effects, and possibly some beneficial effects” from using marijuana medically in HIV-infected patients taking protease inhibitors
2003In the Netherlands pharmacies become legally obligated to stock and dispense medical marijuana. They are also required to advise users of the benefits of cannabis tea.
2003US Government patent the therapeutic use of cannabinoids as antioxidants and neuroprotectants.
2003California: S.B. 420 signed into law, which will create an ID card for medical marijuana users to show law enforcement officers.
2003US Supreme Court refuses to hear an appeal in the case of Conant v. Walters, thus turning down “the Bush administration’s request to consider whether the federal government can punish doctors for recommending or perhaps even talking about the benefits of the drug [medical marijuana] to sick patients
2003Of the Deans who responded to a confidential poll, over 60% believed that ‘physicians should have the legal right to recommend or prescribe marijuana to receive symptoms of medical complaints.
2003In the case of Ashcroft v Raich, the US 9th Circuit Court of Appeals ruled 2:1 that people who use marijuana for medical purposes cannot be prosecuted by the federal government so long as they grow their own or obtain it from other growers without charge.
2004Marijuana reclassified in the UK from a Class B drug to a Class C. Penalty for cannabis possession reduced from 5 year maximum prison sentence to 2 year maximum sentence.
2004Vermont becomes the 10[SUP]th[/SUP] state to decriminalize medical marijuana.
2004Limited use of medical marijuana becomes legal in Montana.
2005In the case of Gonzales v. Raich (previously Ashcroft v. Raich), the United States Supreme Court ruled that the Commerce Clause of the United States Constitution allowed the federal government to ban the use of cannabis, including medical use. The court found the federal law valid, although the cannabis in question had been grown and consumed within a single state, and had never entered interstate commerce.
2005The Supreme Court rules that, “Federal authorities may prosecute sick people who smoke pot on doctors’ orders,” concluding that state medical marijuana laws don’t protect users from a federal ban on the drug. One week later, the House voted down an amendment that would have stopped the Justice Department from bringing such case.
2006Rhode Island legalizes medical marijuana.
2006A large research study undertaken at UCLA finds that smoking marijuana, even regularly and heavily, does not lead to lung cancer.
2007Medical marijuana becomes legal in New Mexico.
2007Rhode Island medical marijuana act amended.
2008In Michigan an act is passed that removes state-level criminal penalties on the use, possession and cultivation of marijuana by patients who have been diagnosed by a physician as having a debilitating medical condition.
2009Cannabis reclassified to Class B in the UK
2010New Jersey approves medical marijuana bill: New Jersey Compassionate Medical Marijuana Act was passed by the state Assembly in a 48-14 vote
2010A board of Iowa pharmacists voted for the reclassification of cannabis to a schedule 2 drug – that is they recognize the benefits of medical marijuana and support its legalization within the state.
2010Study commissioned in Tennessee to help legislature decide whether and how to implement a system of patient registration and medical marijuana distribution.
2010Kansas 2010 Medical Marijuana Act introduced to the House by Rep Gail Finney
2010Arkansas supporters of medical cannabis release draft three of their Medicinal Cannabis Act of 2011
2010Use of medical marijuana in Arizona to appear on November ballot paper.
2010Use of medical marijuana in Massachusetts to appear on November ballot paper.
2010Peter Buckley announces plans to introduce the Oregon Cannabis Revenue Act(OCRA) to the state legislature.
2010South Dakota to ballot for medical marijuana in November.
 
Kwa Iringa sehemu za Ubenani(njombe) vijiji vingi vilikuwa vikitumia majani ya bangi kama mboga,na mbeguzake kwa ajili ya mafuta ya kupikia,ilipopigwa marufuku,ndipo walipoanza kutumia mboga za majini nyinginezo kama majani ya maboga,delega na figili zilizoletwa na wazungu,mbegu walizokuwa wanatumia kama mafuta wakaacha wakaanza kutumia mbegu za maboga mwitu/nguruwe kama mafuta,wenyewe wanaziita tetere..
 
Kwa Iringa sehemu za Ubenani(njombe) vijiji vingi vilikuwa vikitumia majani ya bangi kama mboga,na mbeguzake kwa ajili ya mafuta ya kupikia,ilipopigwa marufuku,ndipo walipoanza kutumia mboga za majini nyinginezo kama majani ya maboga,delega na figili zilizoletwa na wazungu,mbegu walizokuwa wanatumia kama mafuta wakaacha wakaanza kutumia mbegu za maboga mwitu/nguruwe kama mafuta,wenyewe wanaziita tetere..

Hata wahadzabe, walikuwepo miaka na miaka, wao wanatumia Cannabis kama mboga na pia wanaichoma na kuvuta moshi wake. Mpaka leo wapo na wazima wa afya tele. Hawajaacha na wanaamini ni kwajili ya meditation na relaxation.
 
Papason is the name, I'm ahead of my game!,
Since I left, am not too much changed!,
Still puffing my leafs, sticky green, …No stress, ..No Fatigue..
still doing my thang en' puffing it wit my street homies!,
always wheezy it in the air to fool the corps!,
Still rock my gwanda with a cuff and a crease!,
Still not loving police en' magamba.
 
Nilianza kugundua ubora wa ganja mda mrefu sana. lakini tatizo ni vijana wengi wanaitumia kwa matumizi mabaya lakini mimi ni Mtumishi wa Mungu "Pastor" sijaona ubaya wowote wa hiyo ganja ikiwa kama itatumia kwa namna Mungu aliyokusudia. nawaomba vijana Muache kuvuta ovyo kwani matumizi mabaya ndiyo huleta shida.
 
Nilianza kugundua ubora wa ganja mda mrefu sana. lakini tatizo ni vijana wengi wanaitumia kwa matumizi mabaya lakini mimi ni Mtumishi wa Mungu "Pastor" sijaona ubaya wowote wa hiyo ganja ikiwa kama itatumia kwa namna Mungu aliyokusudia. nawaomba vijana Muache kuvuta ovyo kwani matumizi mabaya ndiyo huleta shida.

Umeongea sawa Motochini, ni kweli kabisa.
Blessings....
 
What i came to realized is that even our Leaders are using Hemp. Doctors,Mps.Presidents, and so forth. but they dont want us to use it. that is stupidness. I am very angry with them.I am using hemp for good reason and it helps me.
 
What i came to realized is that even our Leaders are using Hemp. Doctors,Mps.Presidents, and so forth. but they dont want us to use it. that is stupidness. I am very angry with them.I am using hemp for good reason and it helps me.

Yeah, ni kweli kabisa, kuna taasisi iligundua most of American Presidents wanatumia harb kupunguza mawazo na for relaxation, tena wana special class wanayoagiza nje ya nchi. Suala linalosababisha wakatae ni kuwa, Herb sio zao la kibiashara kama yalivyo mazao mengine kama tumbaku, kwamba hata wakiiruhusu inaweza isiuzwe kwakuawa kila mtu anaweza akajipandia nyumbani kwake, so government haitapata profit kama inavyopata kwenye sigara, vyakula, bidhaa n.k. Na kama ikiwa inauzwa nchi masikini zitaendelea sana maana inapatikana kirahisi katika third word countries. Madokta wanatumia maana wao wenyewe wanakuambia Herb ni safe kuliko kahawa, pombe, sigara, chai na Madawa kama aspirin, coca cola, wine n.k. Herb ni zao linaloweza kutengeneza mafuta ya gari, mafuta ya kupikia, mafuta ya dawa, mbao, karatasi, dawa (ni mmea wenye dawa nyingi duniani na una historia kubwa katika medicals tangu ancient china, india na Istael. They have to renew hiyo sera ya herb. Na inasemekani katika uchaguzi wa mwaka huu watajitahidi kuangalia suala la herb na medical marijuana katika majimbo ya Marekani.

Herb saves the planet. GO GREEN.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom