warembo wa chadema wanavishwa magwanda kama mgambo wa taliban
warembo wa chadema wanavishwa magwanda kama mgambo wa taliban
weka picha bac tuamini
kucheza disco???Chama Kikongwe kina watu wakongwe.. Cheki bungeni Dom utaona ni watu wazima na wala hauwezi hata Kucheza nae Disko huku ukimwangalia usoni ( Wamezeeka) na wale ni Watu wazima. Wanazingatia sera yao inayosema Vijana ni Taifa la Kesho na ndio maana wamezeeka na Chama chao Kimezeeka.
ungekuwa unajua kama hivi ni vibustani vya wakubwa wakiwa kwenye misafara,usingeandika hayawarembo wa chadema wanavishwa magwanda kama mgambo wa taliban