Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,202
- 162,760
Mwenyekiti wa TLP na mbunge wa Vunjo,Augustin Mrema amesema katika mahojiano na gazeti la Mtanzania Jumatano kuwa serikali imeshindwa na ijiuzulu.
Asema imepoteza muelekeo kushughulikia utawala,udini
Ashangaa wanaomng'ang'nia kawamba badala ya serikali
Amsifu Spika Anne Makinda,asema ndio kamalkia ketu
Kuhusu kufeli vibaya kwa wanafunzi katika mtihani wa kidato cha nne,mh Mrema katika mahojiano na gazeti hilo alijibu kama ifuatavyo na hapa namnukuu
"Hili la matokeo ya kidato cha nne ni aibu,kashifa,fedheha na ni janga la kitaifa.Nawashangaa wanaomng'ang'ania waziri Kawambwa ajiuzulu si yeye tu,bali serikali nzima imeshindwa hivyo inatakiwa ijiuzulu,maana kama ni kumtafuta mchawi basi ni serikali yote ijiuzulu na tuitishe uchaguzi mwingine,tuanze moja kama kweli watanzania imetuuma"
Hiyo ndio kauli ya mh.Mrema kama inavyosomeka katika gazeti la Mtanzania Jumatano la tarehe 27/02/2013.
Ni vigumu kuamini kama kweli matamshi haya kayatoa.
Kwa taarifa zaidi soma mtanzania online la leo Jumatano.
Asema imepoteza muelekeo kushughulikia utawala,udini
Ashangaa wanaomng'ang'nia kawamba badala ya serikali
Amsifu Spika Anne Makinda,asema ndio kamalkia ketu
Kuhusu kufeli vibaya kwa wanafunzi katika mtihani wa kidato cha nne,mh Mrema katika mahojiano na gazeti hilo alijibu kama ifuatavyo na hapa namnukuu
"Hili la matokeo ya kidato cha nne ni aibu,kashifa,fedheha na ni janga la kitaifa.Nawashangaa wanaomng'ang'ania waziri Kawambwa ajiuzulu si yeye tu,bali serikali nzima imeshindwa hivyo inatakiwa ijiuzulu,maana kama ni kumtafuta mchawi basi ni serikali yote ijiuzulu na tuitishe uchaguzi mwingine,tuanze moja kama kweli watanzania imetuuma"
Hiyo ndio kauli ya mh.Mrema kama inavyosomeka katika gazeti la Mtanzania Jumatano la tarehe 27/02/2013.
Ni vigumu kuamini kama kweli matamshi haya kayatoa.
Kwa taarifa zaidi soma mtanzania online la leo Jumatano.