Mrema na jimbo la Vunjo

H7N9

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
311
80
Jimbo la vunjo ni kati ya majimbo ambayo yanaupinzani wa kweli sio mdomoni kwa wananchi wake tu bali hadi moyoni,mwanasiasa machachari ndugu yetu mbunge wetu,waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu Agustino Lyatonga Mrema mzee wa kiraracha ni kati ya viongozi walioasi CCM na kujiunga na upinzani miaka ile ya tisini na baadae kugombea kiti cha uraisi kupitia NCCR Mageuzi Nini kilimtoa CCM haijulikani hadi Leo au aligusa maslahi ya wakubwa au alienda kinyume na mfumo CCM? hakuna anaejua.Mrema alikuwa kiongozi mchapakazi serikalini na hata kwa wananchi wa jimbo lake alikuwa kivutio kwa wapenda mabadiliko.

Aliikimbia NCCR na kwenda TLP wananchi wa jimbo lake wakamfuata na kuendelea kumwamini kuwa ndiyo mbunge wao wengine ni wachumia tumbo tu kama aloyce kimaro mbunge wa CCM na aliyekuwa mbunge wa NCCR James mbatia ambae bila Agustino wala mjengoni kamwe asingeingia angekuwa anatizama kwenye TV tu. Nani atakae fit katika jimbo hili kama Mrema? jibu ni hakuna toka kupatikana Uhuru wa Tanganyika, Mrema kuwa mbunge hadi Leo ni kwasabu ya kile alichowafanyia wananchi wake wakamwamini na kumpenda pia.makundi nae alikuja hakuna jipya amepotea hakuna alichokifanya zaidi ya kuweka bomba la maji sokoni mwisho wa siku CCM kuchukua jimbo letu kwa goli la mkono.

Leo Mbatia anarudi kwa tiketi ya NCCR Mageuzi chama cha aliyemfundisha siasa ambae ni gwiji la upinzani toka chama dola anakwenda kuwaambia Nini wanavunjo? agenda aliyozoea ya kuwadanganya wanavunjo ni kilimo cha kahawa tu hana jipya ndiyo Sera yake mkuu awadanganyee wale wazee wa kuria kidogo. Mrema ni baba wa upinzani Tanzania hata kama atakwenda kupumzika namtakia afya njema ameitumikia serekali ya chama cha mapinduzi na ametumikia wananchi wa jimbo la Vunjo kwa kuboresha bei ya zao la kahawa na hatimae wananchi kujenga nyumba bora na bila kusahau kwa juhudi zake kajenga gorvement secondary school Mwika na Jengo lako lenye jina la Mrema hall linatukumbusha mbali sana waliosoma pale kwa wakati ule utakumbukwa na tutawakumbusha utawala wa shule ile jina lako liendelee kuwepo katika Jengo lile.
 
usilalamike na kulia mkuali mbatia siasa ni muda ndio mana kuna uchaguzi,mbona ccm inakufa na hawalii?
 
Mbatia atashinda october 25 asubuhi, mapema kabisa...kama itakavyokuwa kwa Jafari Michael wa Moshi mjini.
 
Ukiona posti kama hizi ujue mtu ameshikwa pabaya. Pole. Safari hii hakuna kucheka na nyani. Lazima tuvune. Ebo !!
 
vunjo ilishenda kwa mbatia tangu uchaguzi wa serikali za mitaa, mrema tumemwomba apumzike hajsikia sasa ataipata fresh kutoka kwa mwanafunzi wake,
 
Eeenh, yeye anadhani watu wanaomwangalia kwenye TV akiwa anaongea kila siku ndo watakaompigia kura, bunge lijalo ataliona kwenye TV kama mimi. Vunjo Babu kwanza wajukuu Wenye tamaa wachumia matumbo baadaye
 

Attachments

  • 1442606944322.jpg
    1442606944322.jpg
    57.2 KB · Views: 212
Jimbo la vunjo ni kati ya majimbo ambayo yanaupinzani wa kweli sio mdomoni kwa wananchi wake tu bali hadi moyoni,mwanasiasa machachari ndugu yetu mbunge wetu,waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu Agustino Lyatonga Mrema mzee wa kiraracha ni kati ya viongozi walioasi CCM na kujiunga na upinzani miaka ile ya tisini na baadae kugombea kiti cha uraisi kupitia NCCR Mageuzi Nini kilimtoa CCM haijulikani hadi Leo au aligusa maslahi ya wakubwa au alienda kinyume na mfumo CCM? hakuna anaejua.Mrema alikuwa kiongozi mchapakazi serikalini na hata kwa wananchi wa jimbo lake alikuwa kivutio kwa wapenda mabadiliko.

Aliikimbia NCCR na kwenda TLP wananchi wa jimbo lake wakamfuata na kuendelea kumwamini kuwa ndiyo mbunge wao wengine ni wachumia tumbo tu kama aloyce kimaro mbunge wa CCM na aliyekuwa mbunge wa NCCR James mbatia ambae bila Agustino wala mjengoni kamwe asingeingia angekuwa anatizama kwenye TV tu. Nani atakae fit katika jimbo hili kama Mrema? jibu ni hakuna toka kupatikana Uhuru wa Tanganyika, Mrema kuwa mbunge hadi Leo ni kwasabu ya kile alichowafanyia wananchi wake wakamwamini na kumpenda pia.makundi nae alikuja hakuna jipya amepotea hakuna alichokifanya zaidi ya kuweka bomba la maji sokoni mwisho wa siku CCM kuchukua jimbo letu kwa goli la mkono.

Leo Mbatia anarudi kwa tiketi ya NCCR Mageuzi chama cha aliyemfundisha siasa ambae ni gwiji la upinzani toka chama dola anakwenda kuwaambia Nini wanavunjo? agenda aliyozoea ya kuwadanganya wanavunjo ni kilimo cha kahawa tu hana jipya ndiyo Sera yake mkuu awadanganyee wale wazee wa kuria kidogo. Mrema ni baba wa upinzani Tanzania hata kama atakwenda kupumzika namtakia afya njema ameitumikia serekali ya chama cha mapinduzi na ametumikia wananchi wa jimbo la Vunjo kwa kuboresha bei ya zao la kahawa na hatimae wananchi kujenga nyumba bora na bila kusahau kwa juhudi zake kajenga gorvement secondary school Mwika na Jengo lako lenye jina la Mrema hall linatukumbusha mbali sana waliosoma pale kwa wakati ule utakumbukwa na tutawakumbusha utawala wa shule ile jina lako liendelee kuwepo katika Jengo lile.


Upo dunia hii kweli wewe? Inaonesha kama ulikufa 1995 na ndio kwanza unafufuka 2015!!!
 
Jimbo la vunjo ni kati ya majimbo ambayo yanaupinzani wa kweli sio mdomoni kwa wananchi wake tu bali hadi moyoni,mwanasiasa machachari ndugu yetu mbunge wetu,waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu Agustino Lyatonga Mrema mzee wa kiraracha ni kati ya viongozi walioasi CCM na kujiunga na upinzani miaka ile ya tisini na baadae kugombea kiti cha uraisi kupitia NCCR Mageuzi Nini kilimtoa CCM haijulikani hadi Leo au aligusa maslahi ya wakubwa au alienda kinyume na mfumo CCM? hakuna anaejua.Mrema alikuwa kiongozi mchapakazi serikalini na hata kwa wananchi wa jimbo lake alikuwa kivutio kwa wapenda mabadiliko.

Aliikimbia NCCR na kwenda TLP wananchi wa jimbo lake wakamfuata na kuendelea kumwamini kuwa ndiyo mbunge wao wengine ni wachumia tumbo tu kama aloyce kimaro mbunge wa CCM na aliyekuwa mbunge wa NCCR James mbatia ambae bila Agustino wala mjengoni kamwe asingeingia angekuwa anatizama kwenye TV tu. Nani atakae fit katika jimbo hili kama Mrema? jibu ni hakuna toka kupatikana Uhuru wa Tanganyika, Mrema kuwa mbunge hadi Leo ni kwasabu ya kile alichowafanyia wananchi wake wakamwamini na kumpenda pia.makundi nae alikuja hakuna jipya amepotea hakuna alichokifanya zaidi ya kuweka bomba la maji sokoni mwisho wa siku CCM kuchukua jimbo letu kwa goli la mkono.

Leo Mbatia anarudi kwa tiketi ya NCCR Mageuzi chama cha aliyemfundisha siasa ambae ni gwiji la upinzani toka chama dola anakwenda kuwaambia Nini wanavunjo? agenda aliyozoea ya kuwadanganya wanavunjo ni kilimo cha kahawa tu hana jipya ndiyo Sera yake mkuu awadanganyee wale wazee wa kuria kidogo. Mrema ni baba wa upinzani Tanzania hata kama atakwenda kupumzika namtakia afya njema ameitumikia serekali ya chama cha mapinduzi na ametumikia wananchi wa jimbo la Vunjo kwa kuboresha bei ya zao la kahawa na hatimae wananchi kujenga nyumba bora na bila kusahau kwa juhudi zake kajenga gorvement secondary school Mwika na Jengo lako lenye jina la Mrema hall linatukumbusha mbali sana waliosoma pale kwa wakati ule utakumbukwa na tutawakumbusha utawala wa shule ile jina lako liendelee kuwepo katika Jengo lile.

hii thread kama kajiandikia mwenyewe mzee wa inji....Poor Mrema kapumzike kwa amani...vunjo inahitaji mabadiliko chanya. Mbatia here he comes...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom