Mrema aitolea uvivu CHADEMA



True, hiki ni kichekesho maana kama anamuunga mkono si angekuwa CCM huko huko, na ni yeye (Mrema) anayemuunga mkono au chama chake
 
Magwanda siku zote huwa hampendi kuusikia ukweli.

Vipi, miyeyusho ya Arusha mbona mnaikalia kimya? Au ni halwa tu hata mkipigwa changa la macho?

Pole na Mfungo
jaribu kuzipa ushirikiano akili zako, kwa kuweka ushabiki pembeni
 
<br /> <br / khaaaa!,we jamaa wewe mbona wa hovyo hvyo?. Baba ze2 hawajafanya chochote kwa kuwa wanajua hawawez kufanya chochote,,ni bora kutofanya kuliko kufanya upuuzi kama anaoufanya huyo dr kinyaaa.
 
Mrema ni mfano wa viongozi wa sasa wa tanzania, tusitegemee jipya toka kwao. Wamefanya maisha ya watanzani kama mchezo tu, tanzania ya leo ni mbaya kuliko ya nyerere ya 1985, tusiangalie magari tuliyonayo, nyumba, au upatikanaji wa bidhaa madukani, hali ya ichumi ni mbaya sanaaaaa
 
Naona hajazungumzia alivyolala usingizi wa pono mapaka udenda ukamtoka!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…