Freedom tommorrow
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 1,795
- 1,132
Itakumbukwa kuwa ndugu Augustino L. Mrema alijaribu bahati yake ya kukiwania kiti cha urais kwa mara ya kwanza mwaka 1995 kupitia NCCR mageuzi lakini alishindwa. Kulikuwa na sababu za kushindwa katika miaka ile. Sababu kubwa za msingi ni 5.
1. Uwepo wa baba wa taifa: Kipindi kile nyerere alijitahidi sana kuhakikisha kuwa chama cha CCMwanabaki kuwa wamoja na mrema anakosa uraisi. Hivyo alitembea sehemu kubwa ya nchi na kuhakikisha kuwa watu wanamkubali mkapa na wanachagua CCM. Kukosekana kwa mshikamano ndani CCM na kutokuwepo kwa baba wa taifa ni advantage kubwa kwa lowassa
2. Vijana wengi kutojiandikisha kupiga kura: Mwaka 1995 vijana wengi walijitokeza kuwa washabiki wa mrema lakini ukweli ni kuwa wengi walikuwa hawakujiandikisha kupiga kura. Hivyo mrema alijikuta akipoteza nafasi hiyo kirahisi dhidi ya mkapa.hali hiyo ni tofauti na 2025 kwani sensa inaonyesha vijana ni 52% na wengi wamejiandikisha hiii itampa advantage lowassa
3. Kampeni za CCM kuwa wapinzani wanaleta vita: CCM walikuwa wanatumia mikanda ya video ya nchi yenye vita ili kuwatisha wananchi wasiwachague wapinzani, na kweli watu wengi waliamini hivyo hilo kwa sasa halipo tena. Kuelewa kwa wananchi maana ya kuwepo upinzani na faida zake kwa sasa ni advantage kwa Lowassa
4. Msiba wa John Komba: hii pia ni advantage kwa lowassa kwani yule bwana alikuwa na kipaji kikubwa sana cha kuwavutia watu hasa kina mama kwa muziki wake mahili jukwaani.
5. Wananchi kutoelewa maana ya upinzani: CCM walieneza kasumba mbaya sana kama wapinzani ni watu hatari, hii iliifanya mpaka siasa ya zanzibar zikawa za chuki na huku bara watu waliogopa upinzani kwa sasa ni tofauti kabisa, hii ni advantage kwa Lowassa
Hitimisho: CCM inaondoka
1. Uwepo wa baba wa taifa: Kipindi kile nyerere alijitahidi sana kuhakikisha kuwa chama cha CCMwanabaki kuwa wamoja na mrema anakosa uraisi. Hivyo alitembea sehemu kubwa ya nchi na kuhakikisha kuwa watu wanamkubali mkapa na wanachagua CCM. Kukosekana kwa mshikamano ndani CCM na kutokuwepo kwa baba wa taifa ni advantage kubwa kwa lowassa
2. Vijana wengi kutojiandikisha kupiga kura: Mwaka 1995 vijana wengi walijitokeza kuwa washabiki wa mrema lakini ukweli ni kuwa wengi walikuwa hawakujiandikisha kupiga kura. Hivyo mrema alijikuta akipoteza nafasi hiyo kirahisi dhidi ya mkapa.hali hiyo ni tofauti na 2025 kwani sensa inaonyesha vijana ni 52% na wengi wamejiandikisha hiii itampa advantage lowassa
3. Kampeni za CCM kuwa wapinzani wanaleta vita: CCM walikuwa wanatumia mikanda ya video ya nchi yenye vita ili kuwatisha wananchi wasiwachague wapinzani, na kweli watu wengi waliamini hivyo hilo kwa sasa halipo tena. Kuelewa kwa wananchi maana ya kuwepo upinzani na faida zake kwa sasa ni advantage kwa Lowassa
4. Msiba wa John Komba: hii pia ni advantage kwa lowassa kwani yule bwana alikuwa na kipaji kikubwa sana cha kuwavutia watu hasa kina mama kwa muziki wake mahili jukwaani.
5. Wananchi kutoelewa maana ya upinzani: CCM walieneza kasumba mbaya sana kama wapinzani ni watu hatari, hii iliifanya mpaka siasa ya zanzibar zikawa za chuki na huku bara watu waliogopa upinzani kwa sasa ni tofauti kabisa, hii ni advantage kwa Lowassa
Hitimisho: CCM inaondoka