Asanteni jamani mlio pm nasema asante sana hakika ukitii utakula mema ya nchi. Nimepata pm nyingi sana naomba kusema zimetosha ili niweze kuchagua mme kati ya hawa.
Ndiyo maana nilikwambia mimi nilishindwa kufanya hivo kwa kuhofia tungekuwa wengi halafu tukupe ugumu wa kuchagua. Nilijitoa mapema maana hili nulilitegemea na ndo maana nkahisi usumbufu utakaokuwa unaupata mitaani.