Mrejesho wakucomfirm vipimo vya HIV

Baadhi Wahudumu wa afya ni wabaya Sana na wachache ni waaminifu,Kuna visa viwili vya Hawa watu ambavyo viliniacha hoi .

Kisa cha kwanza Ni Cha huyu mhudumu wa afya ambaye nilikutana naye mwaka 2013 kule Mkoani iringa katika harakati za kutafuta riziki ,nikiwa pale hospitali upande wamaabara nasubiri majibu ili niyapeleke kwa daktari alikuja jamaa mmoja ambaye alikuwa pale maabara sikujua alikuwa anatafuta Nini,lakini ghafula yalitokea mabishano makari Kati ya mhudumu wa maabara na yule jamaa,baadae jamaa alitoka na kutokomea na kumuacha muhudumu wa maabara akilalama,ili bidi nimuulize kulikoni ndugu yangu,yule mama wa maabara alinijibu kuwa huyu jamaa amemleta binti hapa akidai kuwa binti amebakwa ,lakini binti amepimwa hajabakwa na hakuna shida yoyote kwa binti,sasa ananilazimisha niandike kuwa binti kabakwa hakika nilibaki kinywa wazi na nikampongeza mama yule kwa kukataa rushwa ambayo baadae ingegalimu maisha ya mwanamme mwenzangu.


Kisa Cha pili kilitokea nikiwa Lindi ,Kuna jamaa tetesi zilikuwa zimesambaa kuwa ana UKIMWI, kwa kuwa utamaduni wa watu wa Lindi wengi wao wamezoea ndoa za mitala jamaa yule alikuwa na wake watatu,sasa akampata binti katika Kijiji jirani ,kwa kuwa wambeya hawana simile walienda kumtonya binti kuwa jamaa Alisha athirika, binti akawa ameshituka hivyo wakati wa kukamilisha taratibu za ndoa iliidi waende kupima,kumbe jamaa kutokana na kuwa na tupesa kidogo akawahi na kumuhonga mtu wa maabara ,majibu yakatoka Hana UKIMWI.

Kimbembe baada ya binti kubeba mimba ,Kama kawaida Wakati wa kuanza kiliniki mama mzazi lazima apimwe,binti kwa kujiamini akakubali bila hiana maana alikuwa anazijua vizuri njia zake, duh majibu kutoka binti anangoma,binti alianguka na kupoteza fahamu,na baadae mimba ya watoto wawili ikatoka.

Huyu jamaa kwa sasa nasikia Ni katibu wa CWT huko mkoani Ruvuma na anagawa Sana dozi,sijajua vizuri Yuko wilaya gani,Ila walimu wa kike huko wawe makini ataua wengi sana huyu jamaa.


Mwisho Wahudumu wa afya na watumishi wa umma kwa ujla jaribuni kuzingatia maadili ya kazi zenu.
 
Poleni sana hatakiwi kuiogopa hali yake maana ataishi kwa taabu
 
Mkuu sijamla hata kumla huyu Ila alikua ananiforce Sana nkamle minikagoma nkamwambia Hadi tukachek HIV kwanza ndo majibu hayo
Acha ujinga wewe huyo mtu ni HIV positive pumbavu kabsaaa
 
Mkuu mbona mi naona kama nyie wote wawili mmeungua?? Au mi ndio sijaelewa hizo picha za vipimo??
 

Huyo dem ni wa kigoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…