Mrejesho wa kutafuta mchumba

Hakuna wachumba humu wengi ni wakandamizaji tu pole sana
 
Kwani humu MMu kuna wanaume wakuoa kweli humu, humu kuenjoy na kucheka tu. Nikijihisi Niko board nazama humu basi nacheka mpaka basi, lakini sio kuoa.

Utapoteza muda wako my
Hahahahahaha yani wewe acha tuu vituko mwingine aliniambia atoke moro aje akae kwangu siku mbili tuongee vizuri tupange mipango eti hana pa kufikia wengine tuliwashiana moto kabisa kuchambana kisa kuwapa live
 
We dawa yko ni kutafutiwa geto makini la kukodi, nauhakika siku iyo iyo nitakugegeda.
 
Yani ukitaka kumkamata tapeli mwambie akuoneshe kwake atasimama mita 200
Mimi naona yafuatayo.

Huu mtandao unasifika kwa members wake kuhitajika na jeshi la polisi, mtu asingetaka mkutane sehemu isiyo ya public kwa mara ya kwanza. Analinda usalama wake.

Unaweza usiwe askari vipi kama ni mwizi na ndo kwanza hatujajuana vizuri hata pa kukukamatia sina, ukija kwangu ukiniibia?

Kubwa kuliko, wanaume hua tunaepuka kumpeleka tunapoishi mwanamke asiye sahihi. Hatujaonana bado siwezi jua kama ni sahihi kwangu ama la na katika tabia inayokifu wanaume ni ya kukazana upajue home.

Hata hatujakutana unataka uje nyumbani!? Kweli? We ungekua mwanaume ungekubali?
 
Kwani humu MMu kuna wanaume wakuoa kweli humu, humu kuenjoy na kucheka tu. Nikijihisi Niko board nazama humu basi nacheka mpaka basi, lakini sio kuoa.

Utapoteza muda wako my
Kwahiyo maombi yangu huwezi kuyafanyia kazi?
 
ukiweka tangazo humu asilimia kubwa watakao kufuata ni wanaume ambao wameshaoa ila tamaa tu

me nafikir kijana alie serious hawezi kutamfuta mke dizain hii labda incase ikatokea kuna jambo fulan mmesaidiana huko pm mkazoeana hao atleast wanaweza kua na mahusiano serious..otherwise my dear muombe tu Mungu akuonyeshe ikiwa mtaani au humu kwa namna yoyote ile.njia za Mungu ni za ajabu
 
Yawezekana sikua serious kwenda makwao ni kuwapima tuu lkn reaction zao zina walakini unajua kabisa something fishy mkuu kuwa mpembuzi
 
Subiri subiri kaumri kasogee sogee utafikia hatua wala hutohangaika kutafuta kwa njia ya mtandao, utampata wa kukutana nae ana kwa ana mtaani, kazini, njiani, kanisani n.k
 
Ktk kufanya assessment ni lazima uwe na maswali ambayo mtu hayatarajii na wew uwe makini na reaction ya huyo mtu ni rahisi sana kupata majibu mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…