Mrejesho toka kwa bibi


Njia ya mwongo ni fupi, na cjui anapata faida gani
 
MO11 alitutahadharisha kuhusu huyu mtunzi
 
Last edited by a moderator:

Kumbe humu ndani tunapishana na wachawi??
 
Kumbe ndo maana wakati mwingine kiwango kinakuwa chini..unashidwa kupata jibu..!acheni hizo bana..
 
hakuna uchawi sikuhizi sasa hivi yesu anatawala bila hata aibu anaitwa anna....please uache kutuchafua watu wa kibondo bibi yako alishakufa
 

dah huyu kiumbe ni tatizo kuliko njaa!!!!!
 
Hahaaaa, kuna dada mmoja yupo hapa anaomba umtajie jina na mahali alipo akaprove kama kweli dawa imework!
 

kibokooo.......
 

hapo chacha......
 
Last edited by a moderator:

Yatamrudia, asitufanye hatuelewi
 
Tyta u have my point....please unikumbushe....
 
Last edited by a moderator:

Huwa nakwambia napenda kazi yako mkuu em kula laiki...... loo!!
 

Kumbuka malipo ni hapa hapa duniani. Ulichofanya utapata malipo mara mbili yake. Mwisho wa siku huyo mtoto atabaki yatima.
 

Umeona eeh, she is one big liar to the point hadi anasahau when she posted what; Ukisikia JF kuingiliwa ndio huku watu kuleta porojo za uongo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…