SWEET RIZIKI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 288
- 387
Habari wana jamvi. Miezi kama Mitano hivi iliyopita kuna mwanajamvi aliweka thread hapa akieleza jinsi mkojo unavyoweza kutibu Jino na Vidonda vya Tumbo.
Binafsi nilikuwa nasumbuliwa sana na vidonda vya Tumbo hali iliyonitishia kufunga Mwezi Mtukufu. Nimezoea kufunga pia Suala jingine nililokuwa nafikiria ni ile Faini ya Kulisha Masikini kila Siku kwa Siku zote 30 za Mfungo wa Ramadhani kama sitoweza kufunga kutokana na Maradhi. Nilipiga hesabu kwa kima cha chini kabisa ni 7000 * 30 = 210,000/= . Bado nitoe Zakat Fitiri Kilo 3 za Mchele kwa kila mtoto na Wakishamaliza Kupendeza Sikukuu July Niwasafirishe kwenye kwenda Shule.
Nilisali na kuomba Mungu anisaidie niweze kupata dawa niendelee kufunga sababu pia nisingeeeza bila kufunga nishazoea ni Mila niliyokulia nayo. Baada ya kupitia thread mbalimbali ya dawa za Vidonda vya Tumbo humu JD nikakutana na Post ya Mkuu mmoja hivi nishasahau Id yake ikieleza dawa ya Mkojo wa Asubuhi Dozi ya Siku tatu mfululizo.
Ilibaki Siku kama Tano kuanza Mfungo wa Ramadhani 2017 na hali yangu ilikuwa dhaifu, basi nilijipa moyo nikaondoa kinyaa ambacho kimenijaa, nikaanza Siku ya Kwanza , ya Pili na ya Tatu. Baada ya hapo nikaona Tumbo kimya. Siku ya NNE nikakaa nusu Siku bila kula nikaona Tumbo kimya. Niashukuru Mungu , Siku ya Tano Kimya ya Sita Ramadhani nikanuia nikaanza mzigo ,
Wakuu Nawashuhudia Nilimaliza Mfungo na Sita nikafunga Siku NNE baadae nikaanza kusikia Vichomi Tumboni nikaacha nikatafuta Magnesium likapoa. Lakini tangu July hadi leo hata nikae hadi SAA Kumi Tumbo halinisumbui najiona Kama Nimepona Vidonda Vya Tumbo na Jino kwa Gharama Zero 0 kupitia Tiba ya Mkojo wangu mwenyewe.
Basi nitoe Wito tu kwa wale Wanaosumbuka na Vidonda vya Tumbo na Meno Vaaeni Ujasiri jitibu wenyewe , tuache kujinyanyapaa kwani hata hizo dawa za Viwandani au Za Waganga wa Asili hatujui wanaweka nini, Mimi nimepona sipendi nawe Uteseke.
Pia nimekuja ona Tiba nyingine tena ya Mkojo ni kama kuna MTU ameanguka vile kama degedege au kifafa watu huenda Msalani au bafuni zile za sakafu ya Asili na kuchukua ule udongo uliolowana na kumpaka. Mtu akinywa sumu au kazidiwa na pombe pia watu humnywesha Mkojo na anaamka.
Sijui kitaalam kuna nini kwenye Mkojo.
Karibu na Ahsante Jf Doctor be blessed. Amina.
Binafsi nilikuwa nasumbuliwa sana na vidonda vya Tumbo hali iliyonitishia kufunga Mwezi Mtukufu. Nimezoea kufunga pia Suala jingine nililokuwa nafikiria ni ile Faini ya Kulisha Masikini kila Siku kwa Siku zote 30 za Mfungo wa Ramadhani kama sitoweza kufunga kutokana na Maradhi. Nilipiga hesabu kwa kima cha chini kabisa ni 7000 * 30 = 210,000/= . Bado nitoe Zakat Fitiri Kilo 3 za Mchele kwa kila mtoto na Wakishamaliza Kupendeza Sikukuu July Niwasafirishe kwenye kwenda Shule.
Nilisali na kuomba Mungu anisaidie niweze kupata dawa niendelee kufunga sababu pia nisingeeeza bila kufunga nishazoea ni Mila niliyokulia nayo. Baada ya kupitia thread mbalimbali ya dawa za Vidonda vya Tumbo humu JD nikakutana na Post ya Mkuu mmoja hivi nishasahau Id yake ikieleza dawa ya Mkojo wa Asubuhi Dozi ya Siku tatu mfululizo.
Ilibaki Siku kama Tano kuanza Mfungo wa Ramadhani 2017 na hali yangu ilikuwa dhaifu, basi nilijipa moyo nikaondoa kinyaa ambacho kimenijaa, nikaanza Siku ya Kwanza , ya Pili na ya Tatu. Baada ya hapo nikaona Tumbo kimya. Siku ya NNE nikakaa nusu Siku bila kula nikaona Tumbo kimya. Niashukuru Mungu , Siku ya Tano Kimya ya Sita Ramadhani nikanuia nikaanza mzigo ,
Wakuu Nawashuhudia Nilimaliza Mfungo na Sita nikafunga Siku NNE baadae nikaanza kusikia Vichomi Tumboni nikaacha nikatafuta Magnesium likapoa. Lakini tangu July hadi leo hata nikae hadi SAA Kumi Tumbo halinisumbui najiona Kama Nimepona Vidonda Vya Tumbo na Jino kwa Gharama Zero 0 kupitia Tiba ya Mkojo wangu mwenyewe.
Basi nitoe Wito tu kwa wale Wanaosumbuka na Vidonda vya Tumbo na Meno Vaaeni Ujasiri jitibu wenyewe , tuache kujinyanyapaa kwani hata hizo dawa za Viwandani au Za Waganga wa Asili hatujui wanaweka nini, Mimi nimepona sipendi nawe Uteseke.
Pia nimekuja ona Tiba nyingine tena ya Mkojo ni kama kuna MTU ameanguka vile kama degedege au kifafa watu huenda Msalani au bafuni zile za sakafu ya Asili na kuchukua ule udongo uliolowana na kumpaka. Mtu akinywa sumu au kazidiwa na pombe pia watu humnywesha Mkojo na anaamka.
Sijui kitaalam kuna nini kwenye Mkojo.
Karibu na Ahsante Jf Doctor be blessed. Amina.