Mrejesho: Nimedhalilika sana, mke wa mshkaji kaniambia nikalale nyumba ya wageni

mwambie papa Benedicto soon Ana revers sheria ya ndoa ya wakatoliki,so anae mkao wa kula.
 
Ukute waliokuponda wanaishi kwa wazazi???

Jamani tunaishi kusaidiana na kila mtu anajua bajeti zake hata kama ni kulipiwa na kampuni hotelini ni gharama ndo maana tunafikiaga kwa marafiki.

Kwa wadada tuu ukija mwanza ukaona vip njo kwangu tutakula utakachokikuta hata kama ni dagaa. Maisha ni kusaidiana, who knows? Kwa wakaka hapana staki tamaa
 
Hongera sana mkuu...umeonyesha ukomavu wa fikira na utu kwa kuwa unapenda mabadiriko na sio kung'ang'ania kitu kile kile. Naomba kura yako usimnyime mzee Lowasa.

Ila kama ni mimi ningekuwa nimeoa mke wa hivyo nahisi ningetimua siku nyingi. Pole kwa jamaa,
 
mshikaji mbona tulimaliza kiroho safi? bado unanitangaza bado? sio fresh bana alah
 
Kiu yangu ni kutaka kujua tu huyo mke wa rafiki yako ni kabila gani?? Kuna makabila hiyo tabia imekithili!!

Nathubutu kusema baba na mama wamenikataza kabisa nisipeleke mke wa kabila hilo nyumbani!!!
 
Hongera kwa kusamehe nakusifu zaidi kwa kuonesha uanaume wako hayo sio ya huyo jamaa peke yake wapo wengi sana yanawakuta na ndoa nyingi hazina amani hivo mkiona wanandoa wametoka ndani wamependeza na wanaendesha ndinga za thamani mjue ndani pia kuna mushkeli wa balaa na hasa kama huyo mke alikukuta hauna kitu ndio balaa zaidi tuishi kwa kuvumiliana kiaina
 
Ukute waliokuponda wanaishi kwa wazazi???

Jamani tunaishi kusaidiana na kila mtu anajua bajeti zake hata kama ni kulipiwa na kampuni hotelini ni gharama ndo maana tunafikiaga kwa marafiki.

Kwa wadada tuu ukija mwanza ukaona vip njo kwangu tutakula utakachokikuta hata kama ni dagaa. Maisha ni kusaidiana, who knows? Kwa wakaka hapana staki tamaa
kwahiyo
Sisi wanaume umeamua kutubagua?
 
Back
Top Bottom