haina ushemeji ni kupiga papuchiiii tu hakuna namnaPumbavu wewe na mdogo wa mkeo
Siku izi kila kitu fake fake!
Adi nyinyi mnaojidai mapastor hamnazo!
Trust nobody!
Huna akili.ukitaka kumtumikia Mungu mtumikie kitakatifu.unamdhalilisha Mungu kwa uchafu unaoufanyaWatu wa MUNGU hamjambo?
Baraka za bwana ziwatangulie
Tulikua na ugomvi na mke wangu kwa Muda flani na ikapelekea yy kuondoka kwangu na yeye na wenzie wakafungua huduma yao sehemu nyingine, walidai kuwa naendesha kanisa ndivyo sivyo
Mdogo wa wife hakuondoka na dada yake alibaki akiishi nyumbani kwangu na akaendelea kuabudu kwenye kanisa langu
Baada ya mke wangu kuondoka, mdogo wake akawa ananihudumia, tukawa tunashirikiana pamoja, MUNGU alitufunulia hivyo, akawa ameshika ujauzito
Kwa kipindi chote hiki kumekua na juhudi mbali mbali kutoka kwa wazee na viongozi wa huduma rafiki na sisi za kuturudisha pamoja mm na mke wangu alieondoka, juhudi hizo zimezaa matunda na wakati wowote mke wangu anatarajia kurudi nyumbani tuishi kama mwanzo
Sasa tatizo kubwa limekua ni huyu mdogo wake ambae amekatalia kwangu na kudai hawezi kuondoka, pamoja na kumweleza kuhusu maazimio ya wazee na viongozi kuwa mm na dada yake turudi kuishi kama mwanzo, ameshindwa kunielewa, na kwamba kama nitashikilia msimamo wa kurudiana na dada yake basi yeye ataenda kanisani kutangaza kuwa ana mimba, kwamba yy hawezi kuondoka dada yake ndio ampishe yy maana alishaamua kuondoka kwamba kinachomrudisha ni nn
Watu wa MUNGU nilikua naomba mawazo yenu juu ya suala hili, nitashukuru sana
Nakushauri uende kanisani ukawatangazie waumini wako kwamba mungu wako amekufunulia mdogo wa mkeo na umemtia mimba.Kwa hiyo ulikua unanishaurije?
Mkuu hapo unaionea bangi tu,bangi hapo aihusiki ,wangetumia wasingefanya upumbavu,udwanzi, ukilitimba,usen***kama huo, naomba utengue kauli yako kuhusu bangiHilo kanisa hata bangi mtakua mnavuta
Dah mkuu nlitengua kauli tangu jana aisee wadau walinambia nmeidhalilisha bangiMkuu hapo unaionea bangi tu,bangi hapo aihusiki ,wangetumia wasingefanya upumbavu,udwanzi, ukilitimba,usen***kama huo, naomba utengue kauli yako kuhusu bangi
Watu wa MUNGU hamjambo?
Baraka za bwana ziwatangulie.
Tulikuwa na ugomvi na mke wangu kwa Muda flani na ikapelekea yeye
kuondoka kwangu na yeye na wenzie wakafungua huduma yao sehemu nyingine, walidai kuwa naendesha kanisa ndivyo sivyo. Mdogo wa wife hakuondoka na dada yake alibaki akiishi nyumbani kwangu na akaendelea kuabudu kwenye kanisa langu.
Habari hii hapa pitia....
Mke wangu anataka kurudi kwao
Baada ya mke wangu kuondoka, mdogo wake akawa ananihudumia, tukawa tunashirikiana pamoja, MUNGU alitufunulia hivyo, akawa ameshika ujauzito. Kwa kipindi chote hiki kumekuwa na juhudi mbali mbali kutoka kwa wazee na viongozi wa huduma rafiki na sisi za kuturudisha pamoja mimi na mke wangu alieondoka, juhudi hizo zimezaa matunda na wakati wowote mke wangu anatarajia kurudi nyumbani tuishi kama mwanzo.
Sasa tatizo kubwa limekuwa ni huyu mdogo wake ambae amekatalia kwangu na kudai hawezi kuondoka, pamoja na kumweleza kuhusu maazimio ya wazee na viongozi kuwa mimi na dada yake turudi kuishi kama mwanzo, ameshindwa kunielewa, na kwamba kama nitashikilia msimamo wa kurudiana na dada yake basi yeye ataenda kanisani kutangaza kuwa ana mimba, kwamba yeye hawezi kuondoka dada yake ndio ampishe yeye maana alishaamua kuondoka kwamba kinachomrudisha ni nini?
Watu wa MUNGU nilikuwa naomba mawazo yenu juu ya suala hili, nitashukuru sana.
Pastor kama kuna jambo unaweza ni pm kwa ushauri,huyo dada muache aende kanisani akaseme,kama unataka kuiponya nafsi yako inakupasa kumpendeza Mungu kuliko wanadamu.Kuna roho inawatafuta wachungaji ili waangushwe katika uzinzi,wewe si wa kwanza wala wa mwisho.Watumishi wengi wanachokosea ni kuchezea masharubu ya simba.Shetani ni super genius,mtu akimtumikia Mungu anadhani hawezi kuanguka.Watu wa MUNGU hamjambo?
Sasa tatizo kubwa limekuwa ni huyu mdogo wake ambae amekatalia kwangu na kudai hawezi kuondoka, pamoja na kumweleza kuhusu maazimio ya wazee na viongozi kuwa mimi na dada yake turudi kuishi kama mwanzo, ameshindwa kunielewa, na kwamba kama nitashikilia msimamo wa kurudiana na dada yake basi yeye ataenda kanisani kutangaza kuwa ana mimba, kwamba yeye hawezi kuondoka dada yake ndio ampishe yeye maana alishaamua kuondoka kwamba kinachomrudisha ni nini?
Watu wa MUNGU nilikuwa naomba mawazo yenu juu ya suala hili, nitashukuru sana.
duhHilo kanisa hata bangi mtakua mnavuta