Mrejesho kuhusu ushauri nilioomba

FaizaFoxy changamkia deal
 
Mm toka yanikute hayo nilijiapia sitaamini mwanamke na sitakuwa na kademu kamoja tu....acha uzwazwa mkuu.....mambo ya kulilia chupi achana nayo......wew kula ,sepa achia mwingine ale....
 
Kwani bado wanawake watiifu wapo?? ....kumwamini demu n kupoteza muda wako muhimu.....at least nikimuoa ntamuamini
 
Pole sana...

Huwezi jua/tambua thamani ya kitu mpaka pale utakapokipoteza...



Cc: mahondaw
 
Mbona unaandika kwa kusikitika sana. Hii style yako inaonekana kama unamtishia nyau ili awe mpole urudishe majeshi! Haya mambo kama unaachana naye kweli ukutakiwa hata kumpa taarifa kama umeachana naye! Unapiga ban ya kimya contacts zake zote. Na akitokea kukutafuta unachomoa betri mazima kama kutojibu sms au kukata simu ukigundua ni yeye katumia line tofauti na uliyoblock.

Then kuanzia hapo wewe unaendelea na maisha yako ili na yeye aendelee na maisha yake ya kutosumbuliwa.

Hii ya kwako sidhani kama ni true breakup!! Inaonekana bado ujafanya maamuzi ya mwisho!!
 
Kwa tuliopitia vyuo vikuu tunajua lifestyle ya chuo. Kua na mpenzi ambae anasoma chuo kikuu alafu mpo mikoa tofauti we andika maumivu tu. Kuna mengi kule. Loneliness is a big factor plus tamaa etc.

Long distance relationship doesn't work.
Si chuo tu hata kwenya maisha ya ndoa,Kama wana ndoa wanaishi mikoa tofauti basi hapo hesabu maumivu Hakuna uaminifu na kama upo basi umelega lega.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…