StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 6,627
- 7,850
Ni wanawake wachache ambao huwa ukiwapenda wanarufisha upendo kwa upendo. Wengi ukionyesha kuwapeda sana ni wanaanza kujisahau. Hata mawasiliano yanafifi maana wanajua muda wowote unapatikana wakikutaka. Wengi huwa mnajisahau.
Ile effort kabla hamjawa wapenz inakuwa kubwa. Mkifanikiwa kuingia kwenye mapenz. Effort inashuka.that according to my experience. Ukitaka na evidence ninazo.
Na pia kuna research juu walizofanya wana sayansi kuhusu ilo
Sampuli kama yenu mnapatikanaga wapi kwani
Mwanume kama huna hela, kazi ya kumlinda mpenzi wako muachie Mungu.
je hamjazinguana ndani ya hiyo miaka?Mwanamke asiyekuwa mnyenyekevu piga chini,nakupa ushauri huu niko kwenye ndoa ni mwaka wa 12 sasa.
na mwanamuke kama huna CHIWUNO imakula kwakoMwanume kama huna hela, kazi ya kumlinda mpenzi wako muachie Mungu.
Hahahahaaaa swali la kichokozi hili
Mwakenikushauri kitu next time una date tena. ukimpenda msichana kamwe usimuonyeshe maisha yako yote ni kwake tu attention sijui nini hapana, ishi maisha yako jipende wewe kwanza halafu mwingine ndo afuate. balance attention yako mpe kiasi nyingine kwa rafiki zako, familia na shughuli zako za kiuchumi. muoneshe kuwa apart from her wewe kama wewe una maisha yako na priorites zako. all the best
Mwanume kama huna hela, kazi ya kumlinda mpenzi wako muachie Mungu.
Yaani hapo amepata mwingine sasa wewe umewekwa pending ili yule mpya akizingua arudi kwako mazima.Juzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
TAFADHALI NAOMBA USHAURI WAKO NAUMIA
Salaam.... Kwa muda wa takribani miaka minne nimekua ktk mahusiano na mrembo mmoja ambae kwa sasa anasoma chuo kimoja dodoma na mimi nikiwa kanda ya ziwa Tulikutana masomoni tukafahamiana nikampenda tukaanza mahusiano ambayo mwanzoni yalikua mazuri sana yenye ukaribu kwa hisia japokua ilifika...www.jamiiforums.com
Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya
Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu
I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami
Tunapenda tusiko pendwa
katika mahusiano yoyote yale iwe mwanamke au mwanaume ikitoke kaachwa na mtu aliyekuwa anampenda ila anafanya vituko vya hapa na pale ndio inakuwaga hovo lazia roho imuume na kyfikiria kwamba keshampoteza na nature ya manadamu...kwa hilo umefanya la maana na unakaribishwa kuwa mwanaume kamili maana siku nyinine ukikutana na type kama hii utapia chini mapema sana na wala hutashangaa ni congratsJuzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
TAFADHALI NAOMBA USHAURI WAKO NAUMIA
Salaam.... Kwa muda wa takribani miaka minne nimekua ktk mahusiano na mrembo mmoja ambae kwa sasa anasoma chuo kimoja dodoma na mimi nikiwa kanda ya ziwa Tulikutana masomoni tukafahamiana nikampenda tukaanza mahusiano ambayo mwanzoni yalikua mazuri sana yenye ukaribu kwa hisia japokua ilifika...www.jamiiforums.com
Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya
Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu
I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami
Tunapenda tusiko pendwa
Pole sana mkuuu,ila umefanya makosa kumwambia ukweli,ilitakiwa umuache kimya kimyaJuzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
TAFADHALI NAOMBA USHAURI WAKO NAUMIA
Salaam.... Kwa muda wa takribani miaka minne nimekua ktk mahusiano na mrembo mmoja ambae kwa sasa anasoma chuo kimoja dodoma na mimi nikiwa kanda ya ziwa Tulikutana masomoni tukafahamiana nikampenda tukaanza mahusiano ambayo mwanzoni yalikua mazuri sana yenye ukaribu kwa hisia japokua ilifika...www.jamiiforums.com
Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya
Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu
I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami
Tunapenda tusiko pendwa
Kidogo sanaje hamjazinguana ndani ya hiyo miaka?
ha ha ha ha wale ni chapa ilale tu mkuuHabari yako [emoji112] mkuu.[emoji848] ivi ule mpango ya kando usha oa.
mkuu naomba namba ya uyo dada PM ili nimpunguze mawazo, nakuhakikishia nita mgegeda ndani ya siku moja tuuJuzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
TAFADHALI NAOMBA USHAURI WAKO NAUMIA
Salaam.... Kwa muda wa takribani miaka minne nimekua ktk mahusiano na mrembo mmoja ambae kwa sasa anasoma chuo kimoja dodoma na mimi nikiwa kanda ya ziwa Tulikutana masomoni tukafahamiana nikampenda tukaanza mahusiano ambayo mwanzoni yalikua mazuri sana yenye ukaribu kwa hisia japokua ilifika...www.jamiiforums.com
Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya
Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu
I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami
Tunapenda tusiko pendwa
Unyenyekevu unatibu vitu vingi sana,ukiwa na unyenyekevu huwezi kufa masikiniHata kama mume anasaliti mke awe mnyenyekevu tu?
sawa kwa taarifa, sasa kaa kimya tuone kama umekomaa ki maamuzi. fanya mambo yako huru, japo mawazo, na kuumia moyo lazima lazima ikutokee tu.Juzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
TAFADHALI NAOMBA USHAURI WAKO NAUMIA
Salaam.... Kwa muda wa takribani miaka minne nimekua ktk mahusiano na mrembo mmoja ambae kwa sasa anasoma chuo kimoja dodoma na mimi nikiwa kanda ya ziwa Tulikutana masomoni tukafahamiana nikampenda tukaanza mahusiano ambayo mwanzoni yalikua mazuri sana yenye ukaribu kwa hisia japokua ilifika...www.jamiiforums.com
Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya
Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu
I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami
Tunapenda tusiko pendwa