Mkuu, jamaa anaumia na nina uhakika hapati usingizi since hili sekeseke lilipomkuta. Kama vipi avute muda tu then wayajenge na mzazi mwenzake ili kuirejesha furaha yake. Unadhani kipi bora aendelee kuteseka siku zote au aangalie namna ya kuwa na huyo anayeutesa moyo wake?Sio ushauri mzuri huu kwa kweli
Shida Sio Kupiga simu! nawaza hapa hata kama nimeamua nimrudishie vitu vyake maisha yaendelee should i be 1st kumcheki juu ya hili???inapoelekea wewe ndio utakuwa wa kwanza kumpigia simu na kumuomba msamaha.Kuwa na msimamo basi mkuu
Should I Be the 1st kumtafuta juu ya hilo,au nimwache mpaka anicheki mwenyewe??Duh pole sana mkuu..Kama umeshachukua ufunguo fanya umeudishie vitu vyake mkuu inauma San Ila u have to let it go na Kama una kamchepuko kengun itasaidia kukusahaulush mapem mkuu ndo maana real mean hatuwagi na dem au mke mmoja mkuu ..# hata ukipat mwingin hakikish unakua na kengine ka akiba
Na Nianze Kumtafuta mwenyewe juu ya kutekeleza hilo?Mpaka hapo alisharahisisha mambo, maana nyumba ameshaweza kuichukua.
Ampe vitu vyake kiusalama tu, amwache aendelee na mishe zake. Asigombane naye zaidi maana wana mtoto tayari, huwezi jua ya mbeleni.
Akabidhi nyumba fasta, maana dada anaweza kurudi akabomoa akachukua vitu vyake halafu akavidai.
Shida Sio Kupiga simu! nawaza hapa hata kama nimeamua nimrudishie vitu vyake maisha yaendelee should i be 1st kumcheki juu ya hili???
Shida Sio Kupiga simu! nawaza hapa hata kama nimeamua nimrudishie vitu vyake maisha yaendelee should i be 1st kumcheki juu ya hili???
Ni jambo jema na la busara zaidi kama ukifanya hivyo as soon as possible mkuu.Shida Sio Kupiga simu! nawaza hapa hata kama nimeamua nimrudishie vitu vyake maisha yaendelee should i be 1st kumcheki juu ya hili???
Kwa mafunzo yenu yale utampiga risasi ya kichwaNajiulizaga sana hivi siku nikimfumania wife sijui itakuwaje
Na Nianze Kumtafuta mwenyewe juu ya kutekeleza hilo?
Ni jambo jema na la busara zaidi kama ukifanya hivyo as soon as possible mkuu.
Sasa Kama wewe ndio unalipia uumpe funguo ili iweje? Chukua vitu vyako kwanza then niachie apambane na maisha yake na danga lake.Ndio Ni mimi nilielipia!!
Kari ya anayetoka nje na asiyetoka akifumania wadhani nani Kati Yao anatumia sana?Jitahidi Sana wewe usifumaniwe, pia jitahidi Sana kutotoka nje hata Kama Kuna sababu Mia.
Hahaha kwahiyo baada ya miezi miwili akamkuta bado yuko na jamaa ndio maumivu yataisha mkuu?Halafu kwa sasa hivi akili yako haipo sawa kabisa. Kwa sasa moyo ndio unaokuongoza. Nadhani kila ukifumba macho unamuona anavyovutia na umbo lake akiwa uchi, unayaona makalio yake yanavyovutia, kisha unapiga picha kuna jamaa mwingine anapendwa kuliko wewe na anayashika hayo makalio kadri anavyojisikia, ...hicho ndio kinakuumiza jomba. Okay fanya hivi jikaze kama miezi miwili hivi bila kumtafuta. Nina uhakika yeye na huyo jamaa hawezi kudumu zaidi ya miezi miwili, wataachana tu. Baada ya miezi miwili mtafute kupima upepo, ukikuta bado yupo na jamaa basi jiambie nafsini mwako kuwa huyo sio wako tena, na uweke nadhiri ya kuachana naye. Ila ukimkuta washamwagana na jamaa basi mrudie ili usiendelee kuumia. Huyo demu unampenda mpaka basi hivyo wewe ufuate moyo wako baada ya hiyo miezi 2 provided hayuko na jamaa.
Nakubaliana nawe, mapenzi yanauma sana ukigundua mpenzi wako ni unfaithful alafu wewe ni faithful kwake.Duh pole sana mkuu..Kama umeshachukua ufunguo fanya umeudishie vitu vyake mkuu inauma San Ila u have to let it go na Kama una kamchepuko kengun itasaidia kukusahaulush mapem mkuu ndo maana real mean hatuwagi na dem au mke mmoja mkuu ..# hata ukipat mwingin hakikish unakua na kengine ka akiba