Makosa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 1,183
- 2,624
Mara umeshuhudua Mara umesimuliwa sasa tuchukue lipi?
Ila umesimulia itabakia kuwa simulizi tu
Na kama umeshuhudia basi naamini kabisa Waafrika tuna akili ndogo, unaenda kuangalia jambo LA ajabu kama hilo unashindwa hata kubeba camera tu ili uchukue picha kwa ajili ya kuhifadhi historia kweli?
Ila umesimulia itabakia kuwa simulizi tu
Na kama umeshuhudia basi naamini kabisa Waafrika tuna akili ndogo, unaenda kuangalia jambo LA ajabu kama hilo unashindwa hata kubeba camera tu ili uchukue picha kwa ajili ya kuhifadhi historia kweli?