jitwangabalogi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2018
- 480
- 638
Kwa mda mrefu nilikuwa nasikia habari za hazina ya mjerumani lakini mara nyingi nimekuwa mgumu wa kuamini habari hizo kwa kuona ni moja ya mradi wa wapiga wa mjini a.k.a borntown` lakini hili swala nimeshuhudia kwa macho yangu na kwa mara ya kwanza mkoani tabora wilaya ya sikonge sehemu inayoitwa masiki, kuna mzee mmoja nilikutana nae akawa anasimulia habari hizo kuhusu sehemu ambapo kumewekwa bunduki tatu ambazo zimefungwa kwenye nyaya huku zinaning'inia zikichungulia tundu la kuingilia ndani ya pango, na juu ya pango upande wa kuingilia nje kumeandika 1914.
Sehemu yenyewe ni Tabora wilaya ya Sikonge sehemu inaitwa Masiki.
Nimefika na nimeona hayo!
Sehemu yenyewe ni Tabora wilaya ya Sikonge sehemu inaitwa Masiki.
Nimefika na nimeona hayo!