Mrejesho: Barabara ya Igoma - Kishiri

Mrejesho: Barabara ya Igoma - Kishiri

Junior Lecturer

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
913
Reaction score
584
Baada ya posti yangu juzi kuhusu BARABARA hii, hatimaye Jana imekwanguliwa na kusawazishwa Yale makorongo.

Heko kwa wateule wa Rais wetu mpendwa.
Sasa ..
Mh Rais wetu mpendwa ikikupendeza kipande hicho Cha BARABARA kijengwe kwa kiwango Cha Moramu
 
Msijali lkn naskia mnaunganishwa na lami kutokea Buhongwa
 
Igoma mpaka Kishiri kwa hakika panatakiwa barabara ijengwe kwa kiwango cha lami.
 
Hivi kwanini hii barabara uwa haitengenezwi? miaka nenda miaka rudi? wakati kishiri inaonekana kuwa na wasafiri wengi mno na shughuli nyingi za kiuchumi kwa sasa. yaani imejaa mashimo
 
Heko ya nini? Mpaka watu walalamike? Mwanza Nyamagana barabara za Tarura ni kama njia za ngombe. Yani mnakaa miaka 5 bila barabara kupitishiwa greda. Awamu zilizopita ilikuwa hata kwa mwaka mara mbili greda linapita barabara zinakwanguliwa. Sasa hivi mpaka uchaguzi ukaribie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya posti yangu juzi kuhusu BARABARA hii, hatimaye Jana imekwanguliwa na kusawazishwa Yale makorongo.

Heko kwa wateule wa Rais wetu mpendwa.
Sasa ..
Mh Rais wetu mpendwa ikikupendeza kipande hicho Cha BARABARA kijengwe kwa kiwango Cha Moramu

Sent using Jamii Forums mobile app
Husakwa kwa uhujumu uchumi.!!? Maana wenzio wa barabara za mbugani uhujumu uchumi uliwahusu
 
Heko ya nini? Mpaka watu walalamike? Mwanza Nyamagana barabara za Tarura ni kama njia za ngombe. Yani mnakaa miaka 5 bila barabara kupitishiwa greda. Awamu zilizopita ilikuwa hata kwa mwaka mara mbili greda linapita barabara zinakwanguliwa. Sasa hivi mpaka uchaguzi ukaribie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyingi zipo poa
 
Watu wa Kishiri tunaomba hata picha basi za maendeleo ya ujenzi wa daraja la Fumagila
 
Back
Top Bottom