Esayi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 355
- 146
Sasa ni Mwaka umepita baada ya kuamua kuachana na Mchumba niliye mtolea mahali
Nilileta uzi huu mkanishauri vizuri sana wana JF, nilikaa mda kidogo kwakuwa nilikuwa nahitaji kuoa
Na sasa jamani maombi yenu na ushauri wenu umenifanikisha kuoa bint kigoli kabisa wengi walinambia nitulie nitapata tena kigoli kweli ni miezi kadhaa sasa nafurahi ndoa na uchumba wetu hatukuwah kukosana hata kidogo kama ilivyokuwa kwa wa zaman
Ahsanten sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilileta uzi huu mkanishauri vizuri sana wana JF, nilikaa mda kidogo kwakuwa nilikuwa nahitaji kuoa
Na sasa jamani maombi yenu na ushauri wenu umenifanikisha kuoa bint kigoli kabisa wengi walinambia nitulie nitapata tena kigoli kweli ni miezi kadhaa sasa nafurahi ndoa na uchumba wetu hatukuwah kukosana hata kidogo kama ilivyokuwa kwa wa zaman
Ahsanten sana
Sent using Jamii Forums mobile app