GE2025 Mratibu wa shughuli za utawala Uplands FM achukua fomu udiwani Mji mwema

GE2025 Mratibu wa shughuli za utawala Uplands FM achukua fomu udiwani Mji mwema

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mratibu wa Shughuli za Utawala Uplands Fm Redio Ndugu Noby James Swalle amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mji Mwema Halmashauri ya Mji Njombe, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM.)

Ndugu Noby amekabidhiwa fomu mapema leo Jumamosi Juni 28, na Katibu wa CCM wa Kata ya Mji Mwema katika ofisi za chama hicho zilizopo Mji Mwema.
1751111365721.png

Chanzo: Uplands FM
 
Back
Top Bottom