Rais atafika Mwanza kuzindua daraja la Busisi Kigongo lakini wananchi wanashangazwa pia na dana dana zinazopigwa kukamilisha uwanja wa ndege wa Mwanza na kuufanya wa kimataifa. Ni kweli kwa hili tunaidai Serikali kwa vile ni shs bn 3 kati ya 28 zimetolewa hadi sasa kipindi cha miaka miwili. Ni jambo la kusikitisha sana. Cha kujivunia hakiwezi kuwa ni Daraja la JPM pekee. Wananchi wanauelewa mkubwa mno wa kudanganywa pipi. Badilikeni. Rais tupia jicho kwenye mradi huu ambao unahujumiwa kisiasa.