Ragnar Lothbrok
Member
- Apr 3, 2022
- 14
- 8
Ninaomba kufahamu kuhusu mradi wa miti ya mbao, ninawazo la kununua shamba na kupanda hiyo miti. Ninaomba kufahamisha kuhusu chochote kuhusiana na mradi huo kwa wenye uzoefu.
Ukihitaji maeneo ni cheki pia na parachichi Kuna maeneo kifanya- mikongo na mgalaNinaomba kufahamu kuhusu mradi wa miti ya mbao, ninawazo la kununua shamba na kupanda hiyo miti. Ninaomba kufahamisha kuhusu chochote kuhusiana na mradi huo kwa wenye uzoefu.
Hii ni mkoa wa PWANI?Ukihitaji maeneo ni cheki pia na parachichi Kuna maeneo kifanya- mikongo na mgala
NjombeHii ni mkoa wa PWANI?