Mradi Mpya wa Viwanja - Kibaha Sofu!
Viwanja vya bei nafuu vilivyo kwenye eneo zuri na tambarare kabisa, tayari kwa ujenzi!
Mahali: Kibaha Sofu β km 4 tu kutoka kituo cha Picha ya Ndege
π Ukubwa wa Viwanja: Kuanzia sqm 400 hadi sqm 1500
π° Bei: TSh 15,000 tu kwa kila sqm!
β
Viwanja vipo karibu sana na:
Shule ya Kibaha Sofu Centre
Shule mpya ya msingi na sekondari
Hospitali na huduma za afya
Huduma zote muhimu: maji, umeme, barabara
Makazi ya watu tayari yapo
ποΈ Ardhi ni tambarare, imara na inayofaa moja kwa moja kwa ujenzi.
π
Unapanga kutembelea lini?
Tuwasiliane mapema tupange ratiba.
π Ofisi zetu zipo: Sinza Palestina
π Piga simu au WhatsApp: 0742 921 195