Mr Teacher at work

Mr Teacher at work

Teh teh teh....., ananikumbusha mbali huyu.... !
 
Kiboko sio tija, ongea na mwanafunzi, mweleweshe kwa mifano hai hakika atakuelewa, mwanafunzi sio punda anayekwenda bila kiboko!!! Haki Elimu!!!!

aaah hawa watoto wa kizaz kipya bila viboko haiwezekani ukimpa adhabu mbdala mwenzio ndiyo anachekelea dawa viboko safi sana mr. teacher
 
Umri sio sababu grafani11 nimemaliza elimu ya msingi enzi za Mwalimu Nyerere 1988. Maisha ya miaka hiyo sio ya sasa hivi, thus why hata mashuleni kumewekwa sheria kumchapa mtoto mwisho fimbo 3, haya huo mzigo wa kuni anakwenda kuua nyoka darasani au!!!! Na mwanafunzi anafunzwa kwa adhabu za vitendo sio fimbo, maana ukimchapa kila siku anageuka sugu, je hapo unamjenga au unamharibu!!!! Haijalishi ni shule za ST au Kayumba school viboko havitakiwi tena, ilikuwa ni enzi za Mwalimu!!!!
Umesema ulimaliza elimu ya msingi mwaka 1988, ulichapwa viboko?
 
Amenikumbusha mwalimu Mfumbilwa aaah! Siji msahau maishani mwangu.
 
Back
Top Bottom