Miss Halima
Senior Member
- Aug 4, 2026
- 132
- 329
Wanigeria ni watumwa wa hela, wako tayari kufanya lolote ili wapate pesaStaa wa muziki aliyekuwa akiliunda kundi la P-Square, Mr P, ameibua mjadala mpya kuhusu ufanano wake na pacha wake, Rudeboy, baada ya kutoa kauli iliyowashangaza mashabiki.
Mr P amesema anaamini kuwa anafananana zaidi na msanii wa Marekani, Usher, kuliko anavyofanana na Rudeboy
Kauli hiyo imekuwa ya kushangaza kutokana na ukweli kwamba Mr P na Rudeboy wamekuwa wakitambulika kwa muda mrefu kutokana na ufanano wao mkubwa kama mapacha.
View attachment 3653540
View attachment 3653541
Anatafuta sifa za kijingaStaa wa muziki aliyekuwa akiliunda kundi la P-Square, Mr P, ameibua mjadala mpya kuhusu ufanano wake na pacha wake, Rudeboy, baada ya kutoa kauli iliyowashangaza mashabiki.
Mr P amesema anaamini kuwa anafananana zaidi na msanii wa Marekani, Usher, kuliko anavyofanana na Rudeboy
Kauli hiyo imekuwa ya kushangaza kutokana na ukweli kwamba Mr P na Rudeboy wamekuwa wakitambulika kwa muda mrefu kutokana na ufanano wao mkubwa kama mapacha.
View attachment 3653540
View attachment 3653541
Ungetusaidia na sisi wa mkoa, hapo kwenye picha MR p ndo yupi na Rudeboy ni yupiStaa wa muziki aliyekuwa akiliunda kundi la P-Square, Mr P, ameibua mjadala mpya kuhusu ufanano wake na pacha wake, Rudeboy, baada ya kutoa kauli iliyowashangaza mashabiki.
Mr P amesema anaamini kuwa anafananana zaidi na msanii wa Marekani, Usher, kuliko anavyofanana na Rudeboy
Kauli hiyo imekuwa ya kushangaza kutokana na ukweli kwamba Mr P na Rudeboy wamekuwa wakitambulika kwa muda mrefu kutokana na ufanano wao mkubwa kama mapacha.
View attachment 3653540
View attachment 3653541