Emen JF-Expert Member Joined Jun 22, 2021 Posts 2,089 Reaction score 3,581 Jun 29, 2024 #21 baba hajafa bado mtoto wake wakike hela bank Noma sana hakumjali hata kidogo ila alitaka hela zake
Beesmom JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 37,436 Reaction score 92,230 Jun 29, 2024 #22 EricMan said: Mpaka wakiristo wenyewe wanashangaa Click to expand... Hakika aisee
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,961 Reaction score 194,018 Jun 29, 2024 #23 Pole yao sana wafiwa... Cc: Mahondaw
Mtumishi wa Bwana89 JF-Expert Member Joined Jul 23, 2018 Posts 3,190 Reaction score 4,269 Jun 30, 2024 #24 Mzingo said: Kabla ya ujio wa mochwari zenye majokofu,walikuwa wanatunzaje maiti kwa miezi 3 zamani Click to expand... Kuna madawa ya kiasi kwaajili ya kuhifadhia miili
Mzingo said: Kabla ya ujio wa mochwari zenye majokofu,walikuwa wanatunzaje maiti kwa miezi 3 zamani Click to expand... Kuna madawa ya kiasi kwaajili ya kuhifadhia miili
JAYJAY JF-Expert Member Joined Oct 31, 2008 Posts 8,991 Reaction score 9,491 Jul 1, 2024 #25 mdukuzi said: Mila za ovyo kweli,siku zote hizo mnamtesa mtu kwenye mafriji Click to expand... Anateswa!? Kwa hiyo anapata maumivu!?
mdukuzi said: Mila za ovyo kweli,siku zote hizo mnamtesa mtu kwenye mafriji Click to expand... Anateswa!? Kwa hiyo anapata maumivu!?
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 22,323 Reaction score 56,062 Jul 1, 2024 #26 JAYJAY said: Anateswa!? Kwa hiyo anapata maumivu!? Click to expand... BAridi ya kwenye jokofu unaichukuliaje
JAYJAY said: Anateswa!? Kwa hiyo anapata maumivu!? Click to expand... BAridi ya kwenye jokofu unaichukuliaje
Mamaya JF-Expert Member Joined Jul 4, 2011 Posts 5,284 Reaction score 4,826 Jul 2, 2024 #27 Emen said: baba hajafa bado mtoto wake wakike hela bank Noma sana hakumjali hata kidogo ila alitaka hela zake Click to expand... Jamaa wamemzika ndani ya nyumba katikati ya sebule. Sijui ili wasiuze nyumba au ndio wosia alioacha!
Emen said: baba hajafa bado mtoto wake wakike hela bank Noma sana hakumjali hata kidogo ila alitaka hela zake Click to expand... Jamaa wamemzika ndani ya nyumba katikati ya sebule. Sijui ili wasiuze nyumba au ndio wosia alioacha!