Hiki kichwa na ziadi ya vichwa 100 vya ccm huwa anafikiri kiuchumi zaidi na sii kisiasa nashangaa kati ya waitara na bashe kwanini iwe waitara?ndo maana mnataka kutumia geshi letu kubangulia koroshow tena wabandue kwa meno haha yaani hii ni matumizi mabaya ya vyombo vya uma kuwahi kutokea ila tatizo liko john unawaacha wwnye akili unamchukua waitara..tumfanyie mpango jinga lao na kokochanel