asante kwa maoni yako nimeangalia maoni ya watu wengi naona tunasumbiuliwa na akili karirifu sijui nani anayeweza kusema ametoa mchango hata mmoja katika ulimwengu wa taalima kila mmoja au wachache wakijifanya wao wanajjua kiingereza zaidi kuliko wenye lugha inaonekana akili zao zinafanana kwa ukubwa au udogo wakeInteresting analysis!
huwezi kokosoa usicho elewa maana yake ujumbe umefikamie ngumbaru umeniacha hoi.
Unatumia kingereza cha zaontosis, argila, xylem, osmosis, phosphorus?
Kumbe umejiunga juzi vaa gwanda kaka ,karibu jamvini
elimu nene karirifu unajivunia nayo wapi wakati hunamchango wowote bunifu binafsi katika taalumaWatz wenye elimu nyembamba hujisikia sana wakisema/kuandika kiingireza ili kutukoga tulio wengi. Hivi lengo lako ni maandiko yako yasomwe na kuchangiwa na wana Jf? Au? Acha hizo wewe! Unatunyanyasa wenzako.
umeona makosa mengi ambayo ungerekebisha yakidhi kiwango chako unatakiwa ujue wazo halina lugha maandishi na maneno ndio yenye lughaDah Mkuu, hii lugha ulioandika nimeshindwa kuendelea kusoma.
I am very sorry, utaniwia radhi kaka.