Mpya: Mwanamke unayetafuta mume pitia hapa

Mpya: Mwanamke unayetafuta mume pitia hapa

Remedy2017

Member
Joined
Mar 17, 2015
Posts
8
Reaction score
1
Mimi Ni Mwanaume Natafuta Mke Wa Kuoa,umr Wangu Ni Miaka 26,naishi Dar.Mke Ninae Mwitaji Awe Na Umri Wa Miaka 24-31,mweupe Asiwe Wa Dukani,mrefu Kias Kwn Mimi Ni Mfupi Kias Mwembamba.Kwa Mawasiliano Zaidi Ni Pm Au tuwasiliane kwa 0757144957,
 
As the whole world celebrated yesterday that Christ had risen, Granada saw it from a different perspective. To them, CRISTIANO RONALDO had risen...
 
As the whole world celebrated yesterday that Christ had risen, Granada saw it from a different perspective. To them, CRISTIANO RONALDO had risen...

hahahaaa... kumbe nimekosea jukwaa.. but message sent.
 
Habari wana JF,

Mimi ni mwanaume rijali ninamiaka 27,naish pwan.Wasifu Wangu ni mwembamba kias,sio mrefu,maji yakunde, natafuta mke wakuoa nitaefunga nae pingu za maisha baada yakuelewana na kukamilisha taratibu za ndoa.

Mke nimtakae awe na sifa zifuatazo,mweupe,asiwe mlevi,mwenye umri wa miaka 20-25,elimu kuanzia stashahada na kuendelea,awe hajawahi kuwa na mtoto wala kuolewa.

Sina ubaguzi wa dini wala kabila. Ninachoamini mke mwema anapatikana popote pale Mungu alipomkusudia.Karibu sana mwenye vigezo tuanze maisha.
 
Umesema "pingu za maisha "? Sidhani kama utapata aliye tayari!
 
Kwa usawa huu mtu akianzisha ofisi inayoshughulika na kutafutia watu wenza atakula vichwa sana. Mteja akijitokeza, watu wanatuma CV zao, wanaitwa kwenye usaili, anayefit anakula shavu.

Haya mtu aifanye reality hiyo, thank me later.
 
ktk ivyo vigezo kipaumbele chako nini?? na huyo ulyenae vp? kwnz unamekana huna uhakika wa maisha ndo maana unataka mwenye stashahada, kwan unafikiri stashahada ndio utajiri au mafanikio?? kaa chini panga upya weka msimamo wenye mantiki. be blessed in jesus name
 
umepata kama ni mweupe tu coz wanawake wengi wameendekeza mikorogo mbele so kaa tayari kuingia gharama za cream
 
Weka picha mkuu warembo wakuone...halafu useme na kazi unayofanya/business unayojiusisha nayo na pia Net Profit yako...hapo utapata fasta,
 
Kwa usawa huu mtu akianzisha ofisi inayoshughulika na kutafutia watu wenza atakula vichwa sana. Mteja akijitokeza, watu wanatuma CV zao, wanaitwa kwenye usaili, anayefit anakula shavu.

Haya mtu aifanye reality hiyo, thank me later.

Matchmakers...ni biashara huko Western countries, bado sie tu...nitaianzisha mimi
 
Mimi Ni Mwanaume Natafuta Mke Wa Kuoa Mwenye Umri Wa miaka 30-42 ambae atanipenda kwa dhati,awe anaish dar.umri wangu ni miaka 28.sina ubaguzi wa rangi, kabila,wala dini.kwa mawasiliano zaidi ni pm. maswali sikaribishi niuamzi wangu.
 
mmh mkuu mbona unataka alokuzidi umri aisee. nasi tuwe mchepuko kabla hujapata mke mi sitaki kuolewa
 
  • Thanks
Reactions: myd
Mbona ubora wenyewe hujaweka tuuone??
 
  • Thanks
Reactions: myd

Similar Discussions

Back
Top Bottom