tujaribu kuwa tunaenda ofsi husika bdala ya kuwa tunapandishana pressure humu JF, kama una nafasi ya kwenda ofsi husika nenda ukapate majibu yenye kukidhi kiu yako, kulalamika na kutukana JF bila kuwaona wahusika wenyewe ni kazi bure tu,tafuta vyanzo vya matatizo yako ambavyo vinaaminika,