Cha kusikitisha zaidi ndipo yalipo makao makuu ya CCM na kila siku wanajenga majengo mapya ya anasa ya chama, kununua magari makuu ya chama na kujenga kumbi mpya za bunge chini ya uamuzi wa mwenyekiti wa CCM, na kama haitoshi ndipo yalipo makao makuu ya nchi loh, inasikitisha sana.