Mpoki ukiwa kwenye kipindi cha Ubaoni E-FM unaboa

mchepuko

JF-Expert Member
Feb 14, 2014
1,192
1,414
Wanajamii

Radio E-FM imemuajiri bwana Mpoki (mchekeshaji maarfu) kama radio presenter wao wa kipindi kinachoanza saa 10 jioni hadi saa 12 kinaitwa Ubaoni uyu jamaaa namkubali ni comedian mzuri tu anaejua kucheza na maneno ila sasa tunapoelekea anapitiliza.

images
images


Kwa wale mnaosikiliza kipindi icho naamini mtakubaliana na mimi naomba uongozi wa E-FM mumdhibiti uyu jamaa sio mda wote uwe wa masihara na utani na maneno ya kijinga TCRA muda sio mrefu naamini watashusha rungu apo
 
...amezidi kwa pumba aisee daah..! alafu anataka aongee yeye tu mpaka naona kama kipindi kinavurugika na kinakosa muelekeo, hata huwezi kujua nani ni kiongozi na nani ni co hosts wa kipindi, ebu mpangeni huyo mpoki bado hajielewi anadhani redio ni sawa na comedy show....
 
...amezidi kwa pumba aisee daah..! alafu anataka aongee yeye tu mpaka naona kama kipindi kinavurugika na kinakosa muelekeo, hata huwezi kujua nani ni kiongozi na nani ni co hosts wa kipindi, ebu mpangeni huyo mpoki bado hajielewi anadhani redio ni sawa na comedy show....
for sure uongozi ujipange maana atawaingiza matatizoni muda sio mrefu....ndio madhara ya kuokota watu barabarani hawajui utangazaji
 
Mpoki sio shida Mpoki anapatia sana kile kipindi na ndio anafanya watu wakisikilize. Kama umefatilia vizuri kipindi hakina watangazaji wazuri huyo bikira na mwenzie wamefunikwa sana na Mpoki.

Mpoki anaitaji mtu wa kucheza nae utaipenda sana pale hakuna watangazaji ndio maana kipindi kinaonekana kama hakina content sababu hakina host mwenye nguvu.

Kama Arnold angekuwa bongo angefaa sana pale kuendesha kile kipindi na Mpoki akichombeza pembeni.
 
Back
Top Bottom