Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Huyu refa anaitwa Mujuni Israel ni mwalimu alifundisha sana pale Tambaza High School walichokifanya hawa wachezaji wa Yanga kimemvunjia heshima huyu mtu lakini heshima yao imeshuka maradufu.
Heshima kajivunjia mwenyewe ataharibuje mchezo kisa hela za "Azam Cola",nakwambia na atakuwa amejifunza mana'ke yale ma'gumi siyo mchezo