MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 332
Habari kwenu wanasiasa wote katika jukwa hili
Habari mpya ni kuwa amejitokeza kijana machachari ambaye anaonekana kukubalika na wengi. Huyu ni mtaalamu wa uchumi wa Jamii na amekua akifanya kazi na mashirika mengi ndani ya Mkoa wa KILIMANJARO.
kIJANA HUYU anaonekana kukubalika sana na makundi ya wanawake na vijana ambao Mh. huwa anayategemea sana. Kijana huyu anakubalika kwani kulingana na kazi yake ameweza kushawishi wengi katika shughluli za kiujasiriamali na hamasa kwa jamii ndi ya kata 15 za jimbo la Vunjo.
Kwa kujiamini kijana huyu toka familia ya aliyekuwa Mangi wa Kirua Vunjo aitwaye Mangi Mashingia amesema kuwa kupitia CHADEMA mambo na mahitaji muhimu ya watu wa Vunjo yatatekelezeka kwa kuweka mtandao mbadala katika kuleta maendeleo endelevu na sio kujisifia kama afanyavyo Mzee Mrema.
Yetu macho na masikio.
Habari mpya ni kuwa amejitokeza kijana machachari ambaye anaonekana kukubalika na wengi. Huyu ni mtaalamu wa uchumi wa Jamii na amekua akifanya kazi na mashirika mengi ndani ya Mkoa wa KILIMANJARO.
kIJANA HUYU anaonekana kukubalika sana na makundi ya wanawake na vijana ambao Mh. huwa anayategemea sana. Kijana huyu anakubalika kwani kulingana na kazi yake ameweza kushawishi wengi katika shughluli za kiujasiriamali na hamasa kwa jamii ndi ya kata 15 za jimbo la Vunjo.
Kwa kujiamini kijana huyu toka familia ya aliyekuwa Mangi wa Kirua Vunjo aitwaye Mangi Mashingia amesema kuwa kupitia CHADEMA mambo na mahitaji muhimu ya watu wa Vunjo yatatekelezeka kwa kuweka mtandao mbadala katika kuleta maendeleo endelevu na sio kujisifia kama afanyavyo Mzee Mrema.
Yetu macho na masikio.