mirror01
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 1,693
- 1,243
Ilianzia hapa!
Kisha ikafuatia hapa!
Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!
Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!
Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.
Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.
Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!
Awindwe tuu CCM wote ni vibaka