Mpina afyekwa CCM, aponzwa na msimamo

Mpina afyekwa CCM, aponzwa na msimamo

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
640
Reaction score
1,517
1668937779435.png
 
Mpina hana msimamo wowote na aache kutumia majina bandia,unarusha maelezo ya hilo gazeti uchwara humu ili iweje wewe kenge
 
Mpina hana msimamo wowote na aache kutumia majina bandia,unarusha maelezo ya hilo gazeti uchwara humu ili iweje wewe kenge
misimamo ya mpina sio mipya imendikwa kwenye Ilani ya CCM ili wabunge wakasimamie Serikali sasa kosa lake ni nini
 
Arudishe ile ardhi alinyanganya kule morogoro
Kwanini msimpeleke mahakamani?
Au amesamehewa?
Kama amesamehewa,kwanini asiendelee kuisimimamia serikali?
Baadhi ya watu,hatupendi kuona mtu anaisimamia serikali,wanajitokeza watu wanaibua shutuma dhidi ya msimamiaji wa serikali.
Mambo ya 'ad hominem',ya kijingajinga tu.
 
Back
Top Bottom