Mpenzi wangu mke mtarajiwa muongo

Mpenzi wangu mke mtarajiwa muongo

Ujuaje kama anakudanganya? eleza vizuri ila kwa mbali ni kama umemezwa!
Hao masingo maza wengii wao tatizo, na ndio wengi wapo JF
 
Mkuu bado umri una kuruhusu.. Tupa kuleeeee kama umefanya jitihada za kumrekebisha imeshindikana..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Fimbo ya mbali haiui nyoka. Fanya maamuzi magumu muwe chanda na pete uongo utakwisha.
 
Mwanamke mwenye mtoto mmoja lakini hana mahusiano ya kimapenzi na baba Wa mtoto wake tena

Unajua alichoshindwa mwanaume mwenzio?(baba wa mtoto) mpaka ww ukidai kuwa utaweza
 
Vitu vidogo vidogo kama vipi? Vitaje ili tukushauri mkuu
 
Umesha umia kaka.mtalaka hatongozwi.hawara hana taraka.misemo ipo hiyo me mwenyewe kuna demu tumezaa miaka ya 2007 kaolewa ila ndio mchepuko wangu orgn .chezea mademu dawa tafuta manzi mwingine.yani huko mwanza watu wanakula mpaka sodoma na gomola.
 
Back
Top Bottom