Mkuu Averoes,
Hishma yako ikupate, siamini maneno yako maana mie nimedokezwa na kama umesoma comment yangu nimemtaka
Matola anisaidie mawasiliano ya babaake wa kufikia
kahtaan ili nimfikishie posa ya Ritz, khalafu weye wanena ati amuogopa?!!
Lakini yaezekana maana kalelewa mwana yule maana mato kama akuita lala hivi ..!!