Sasa unampigaje kofi mwanamke hujamuoa na wala hujamtolea mahari? Je angezima pale chini ungeiambia nini mahakama?
Acheni ujinga vijana. Mwanamke ambaye
hujamtolea mahari wala hujamuoa huruhusiwi kumpiga wala kumpa amri yoyote. Yeye atafanya kwa kupenda yeye na sio shuruti. Eboooooo