ngoja wanakuja kukupa ushauri ila usichukie tu na wengine watakuomba namba ya mpenxi wako wakusaidie kumpa iyo 30Wasalaam
Wakuu kipato changu duni sana chini ya 300K kwa mwezi, mpenzi wangu kaniomba elfu 30 aongeze yake 60 anunue smartphone wakati huo yeye ana simu nyingine,
Nifanyeje wakuu, msaada wenu tafadhali
Au nimpige chini?
Niko home
Ukimpiga chini si utamuua mkuu?!!Wasalaam
Wakuu mimi ni bahiri kelikweli
kipato changu duni sana chini ya 300K kwa mwezi, mpenzi wangu kaniomba elfu 30 aongeze yake 60 anunue smartphone wakati huo yeye ana simu nyingine,
Nifanyeje wakuu, msaada wenu tafadhali
Au nimpige chini?