Mtafutie dawa ya awali halafu hayo masuala ya kujipodoa mkataze anampodolea nani ampende zaidi yako? Ww piga mashine yake hiyo lotion yako unayotoa apakae
msikivutz kwa nini unamruhusu mpenzi wako ajikoboe? Binafsi sipo tayari kuona mpenzi wangu anajipiga brash kwa milotion ya ajabu ajabu mi mafuta ya mgando basii
naunga mkono hoja,wanawake 2meumbwa kutojiamini ktk uzuri ww mwanamme hutakiwi kumuunga mkono na kusema alikua mzr alipokua ana2mia lotion,unatakiwa uwe unamnasihi kuwa mke wangu km hujapaka k2 mbn unakua mzuri zaidi?acha kupaka napenda ualica wk,ww cndo mpz wk khy anapaka kwa ajili umuone mzuri na ww unavutiwa na ualica wk bc ata acha,lbd km anamwengine anaempakia lotion ataendelea,kuna mashara mengi ya kiafya na hy mikemikali,kama kweeli unampenda utamlinda,ushauri mwambie acpake chocgote vitaisha vyenyewe,mm nilikua navyo lkn c ksb ya lotion nilitumia kl dawa haikiusaidia bl huzidi,nikavi puuza bl kupaka chochote,baada ya vikaisha,mbona mm mpz wng hataki nichonge nyuc na kwakua naemfanyia ili anione ktk muonekano mzuri hataki bc ckua na budi niache,khy mwmbie nakupenda ivo ulivo mpz wng bl msaada wa lotion.